Inabidi uvumilie tu maana pale kuna ya Fifa na T
bc. Lakini ukweli ni kuwa hayo matangazo ndio yamesaidia wewe uweze kuona michuano hiyo bure kupitia TBC maana ungelazimika kulipia DSTV. Haki ya kurusha world cup ni ghali sana
Inabidi uvumilie tu maana pale kuna ya Fifa na T
bc. Lakini ukweli ni kuwa hayo matangazo ndio yamesaidia wewe uweze kuona michuano hiyo bure kupitia TBC maana ungelazimika kulipia DSTV. Haki ya kurusha world cup ni ghali sana