SIO MCHINA JAMANI HUYU NI Orignal

SIO MCHINA JAMANI HUYU NI Orignal

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,037
Reaction score
34,741
Kaka BAK njoo uone ugonjwa wangu....................


attachment.php
 

Attachments

  • mashuzi hayo.jpg
    mashuzi hayo.jpg
    30.1 KB · Views: 4,682
Last edited by a moderator:
Hahahahahah lol! Mchina muharibifu sana kafanya watu washindwe kujua kama kitu ni real au kitu mchina. Kabla mchina hajavamia hili soko ulikuwa ukiona kitu basi moja kwa moja unajua ni kitu real. Kule Brazil wakaanza kuchongesha kwa kutumia visu. Mchina kuona warembo wanavyopenda hii kitu ya kuchongesha basi akaona isiwe tabu hapa biashara kubwa na faida ni mabilioni. Kwa wale waoga wa visu mchina akazuka na kitu cha kujisiliba tu kwenye makalio na makalio yanaanza kuumuka kama yametiwa hamira. Sasa tabu tupu njemba zikiona kitu swali la kwanza hiki kitu ni real, kimechongwa na visu au ni mchina kafanya vitu vyake.
 
Hahahahahah lol! Mchina muharibifu sana kafanya watu washindwe kujua kama kitu ni real au kitu mchina. Kabla mchina hajavamia hili soko ulikuwa ukiona kitu basi moja kwa moja unajua ni kitu real. Kule Brazil wakaanza kuchongesha kwa kutumia visu wenyewe. Mchina kuona warembo wanavyopenda hii kitu ya kuchongesha basi akaona isiwe tabu hapa bii biashara kubwa na faida ni mabilioni. Kwa wale waoga wa visu mchina akazuka na kitu cha kujisiliba tu kwenye makalio na makalio yanaanza kuumuka kama yametiwa hamira. Sasa tabu tupu njemba zikiona kitu swali la kwanza hiki kitu ni real, kimechongwa na visu au ni mchina kafanya vitu vyake.
11148572_491268524360713_6502767338869223346_o.jpg
 
yule jamaa aliyekuwa anafanya analysis ya photoshop kwenye picha ya afande aje hapa ndo mahala pake
 
Neema za allah swabahana wataala...
 
Sasa wewe unaitafuta ban...Mie simoooooooooo 🙂🙂
Mkuu BAK labda ninamtafuta Mr Ban Ki-moon
Ban_Ki-Moon_November_2014.jpg


Ndio huyu nini mimi ninamtafuta? Au umekusudia kitu gani? Kwani moderator wa humu ndani ni mpenzi wa Yanga nini?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
​Hahahahaha lol! Unajua kugeuza maneno weye!! Haya mtafute Ban ki mwezi.
 
Inadaiwa imeshasainiwa lakini haijulikani lini itaanza kutumika, sijui kwanini wanaficha hiyo tarehe. Pia vifungu ambavyo vilikuwa vinalalamikiwa sana vimefanyiwa mabadiliko lakini hawajasema ni vifungu vipi!? Hapa bado tunajirusha na majina bandia. Kutakuwa na kazi kubwa sana ya kufanya uhakiki wa majina ya kweli pale JF itakapotakiwa kuachana na majina bandia na kuanza kutumia majina ya kweli. Wengi wataishia kusepa.

Nimesikia Mkuu wa nchi amesha tia Saini Sheria za kuzibana Mitandao ya Media ? Ni kweli Mkuu BAK?
 
Inadaiwa imeshasainiwa lakini haijulikani lini itaanza kutumika, sijui kwanini wanaficha hiyo tarehe. Pia vifungu ambavyo vilikuwa vinalalamikiwa sana vimefanyiwa mabadiliko lakini hawajasema ni vifungu vipi!? Hapa bado tunajirusha na majina bandia. Kutakuwa na kazi kubwa sana ya kufanya uhakiki wa majina ya kweli pale JF itakapotakiwa kuachana na majina bandia na kuanza kutumia majina ya kweli. Wengi wataishia kusepa.
Ndio acheni tena kuwalaumu Viongozi kwa ufisadi waacheni munyamazeni mpaka wakati wa uchaguzi ndio munawachaguwa Viongozi munaowataka waacheni Viongozi wafanye wanavyotaka hakuna uhuru wa maoni hapo nchini Tanzania. Hakuna Demokrasia ya ukweli hapo nchini kwetu.
 
Ndio acheni tena kuwalaumu Viongozi kwa ufisadi waacheni munyamazeni mpaka wakati wa uchaguzi ndio munawachaguwa Viongozi munaowataka waacheni Viongozi wafanye wanavyotaka hakuna uhuru wa maoni hapo nchini Tanzania. Hakuna Demokrasia ya ukweli hapo nchini kwetu.

Shdaaaaaaaaaaa
 

Attachments

  • IMG-20150508-WA0073.jpg
    IMG-20150508-WA0073.jpg
    24.2 KB · Views: 692
  • IMG_9582674694209.jpeg
    IMG_9582674694209.jpeg
    41.9 KB · Views: 655
Wapangajiimajaribuu onamwoshavyombojamani
 
Back
Top Bottom