Kwa bahati mbaya toka nijue hili jukwaa sijawai ku-pm au ku-piemniwa na mtu. Sasa nataka nianze utaratibu wa kuanza kuwa pm watu ila ningependa kupata kajiuzoefu kadoogo huko pm kunanaje. Au kama vipi njoo pm na mimi nipate uzoefu
asilimia 80% ya mazungumzo ya pm ni mitongozano na apointimenti za migegedano
asilimia 80% ya mazungumzo ya pm ni mitongozano na apointimenti za migegedano
asilimia 80% ya mazungumzo ya pm ni mitongozano na apointimenti za migegedano
hahahhah afu ndo mana hujawahi hata kunipm eeeh