Niambieni
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 625
- 170
Kwa jina la mabasi yaendayo kasi haliendani ni ukweli unaoonekana. Sababu:
Hivyo hayataenda kasi bali ni vema kutumia jina lingine.
Nawasilisha na kusubiri nihamishwe na kuunganishwa na topics zingine.
- Barabara ni nyembamba kuruhusu vyombo vya moto kukumbia zaidi ya 50 km/hr
- Vituo vimekaribiana sana- toka kituo kimoja, kabla ya kubadili gear ya pili umeshafika cha pili
- Basi likiharibika njiani hakuna pa kuliruhusu lingine lipite.
- Watembea kwa miguu na pikipiki hawana vizuizi vya utumiaji barabara.
Hivyo hayataenda kasi bali ni vema kutumia jina lingine.
Nawasilisha na kusubiri nihamishwe na kuunganishwa na topics zingine.