Enzymes
JF-Expert Member
- Feb 14, 2013
- 4,332
- 3,018
Habari zenu,
Kuna hili jambo la mgao unao litafuna hili Taifa kwa kasi ya ajabu.
Saloon zimefungwa, ndoa zinavujika, watu wanapishana na michepuko yao, Juice za moto, Soda vile vile, Viwanda havizalishi, vibaka ndio usiseme, wabakaji balaa, Stationery na Internet Cafe ni kifo cha mende!
Walio baki na umeme ni bodaboda na magari tu barabarani! Nani akulipe kodi? Thubutuuu! Hayo mateke na Mangumi ya uso!
Majuzi nilikuwa Jijini Mwanza nikaona kampuni ya M-Power (si vodacom) inazalisha umeme wa jua kuichalenge TANESCO, tayari imekuwa kipenzi cha Mama Ntilie, nyumba zilizo mbali na TANESCO, na wafanya biashara wa maduka madogo madogo. TANESCO wao hawaoni kama huyu ni Direct Competitor!
Nyumba kuunganishwa umeme inachukua miezi 8! Rushwa juu! Wakati walipaswa kufanya booking wao.
Ukusanyaji wa mapato unashuka hata Billioni 100 kwa kukata umeme dk 5 tu(assuming). Kwa sasa TANESCO wanakata umeme nchi nzima Takriban masaa18 hadi 48!! Najiuliza hivi kwa nn JK unatuviringisha kama wadudu au ndio Uchumi ulio soma the So called UDSM!
Wadau hivi kweli kuna haja ya Manager wa TANESCO WILAYA, NA MKOA KUWA ELECTRICAL ENGINEER and not Business Manager (e.g. MBA graduate) majoring in Marketing?
Mapendekezo!
1. MKURUGENZI WA TANESCO ilipwe mshahara kutokana na Monthly Performance na wafanyakazi wote wa shirika hili wasiwe na Permanent Salary!
2. Waanze kutoa Booking za kuunganisha umeme kwenye majumba kuzuia wizi na ajali za moto zitokanazo na kujiunganishia umeme kiholela!
3. Hili shirika libadilishe mfumo from a Gvt Parastatal to a Business Enterprise!
4. Hujuma dhidi ya UKAWA zikomeshwe ni kukosesha Taifa mapato. Na hivyo kuhujumu Hospitali kwa kukosa dawa, Kilimo na huduma za maji wa wanachi!
Kuna hili jambo la mgao unao litafuna hili Taifa kwa kasi ya ajabu.
Saloon zimefungwa, ndoa zinavujika, watu wanapishana na michepuko yao, Juice za moto, Soda vile vile, Viwanda havizalishi, vibaka ndio usiseme, wabakaji balaa, Stationery na Internet Cafe ni kifo cha mende!
Walio baki na umeme ni bodaboda na magari tu barabarani! Nani akulipe kodi? Thubutuuu! Hayo mateke na Mangumi ya uso!
Majuzi nilikuwa Jijini Mwanza nikaona kampuni ya M-Power (si vodacom) inazalisha umeme wa jua kuichalenge TANESCO, tayari imekuwa kipenzi cha Mama Ntilie, nyumba zilizo mbali na TANESCO, na wafanya biashara wa maduka madogo madogo. TANESCO wao hawaoni kama huyu ni Direct Competitor!
Nyumba kuunganishwa umeme inachukua miezi 8! Rushwa juu! Wakati walipaswa kufanya booking wao.
Ukusanyaji wa mapato unashuka hata Billioni 100 kwa kukata umeme dk 5 tu(assuming). Kwa sasa TANESCO wanakata umeme nchi nzima Takriban masaa18 hadi 48!! Najiuliza hivi kwa nn JK unatuviringisha kama wadudu au ndio Uchumi ulio soma the So called UDSM!
Wadau hivi kweli kuna haja ya Manager wa TANESCO WILAYA, NA MKOA KUWA ELECTRICAL ENGINEER and not Business Manager (e.g. MBA graduate) majoring in Marketing?
Mapendekezo!
1. MKURUGENZI WA TANESCO ilipwe mshahara kutokana na Monthly Performance na wafanyakazi wote wa shirika hili wasiwe na Permanent Salary!
2. Waanze kutoa Booking za kuunganisha umeme kwenye majumba kuzuia wizi na ajali za moto zitokanazo na kujiunganishia umeme kiholela!
3. Hili shirika libadilishe mfumo from a Gvt Parastatal to a Business Enterprise!
4. Hujuma dhidi ya UKAWA zikomeshwe ni kukosesha Taifa mapato. Na hivyo kuhujumu Hospitali kwa kukosa dawa, Kilimo na huduma za maji wa wanachi!