Sio lazima manager wa TANESCO awe Electrical Engineer

Sio lazima manager wa TANESCO awe Electrical Engineer

Watanzania mpewe nini aisee....hivi unajua madhara ya kuprivatize public service kama umeme? Next tutasema na maji, afya na hata ulinzi wa taifa uwe privatized. Be careful what you wish for EnzymesIla kwa taarifa yako, kuna mpango uliandaliwa na prof Muhongo wa kulivunja shirika la TANESCO kuwa mashirika matatu (moja la uzalishaji, lingine usafirishaji na lingine usambazwaji wa umeme). Serikali ibaki tu na shirika la uzalishaji mengine yote yabinafsishwe kupitia soko la hisa. Mambo ya meneja kuwa engineer sio hoja. Kuna vitu technical sana huko TANESCO ambavyo unless uwe engineer huwezi kuvielewa. Ndio maana kuna corporate wing ya TANESCO ambayo inaongozwa na hao watu wa business administration.
 
Last edited by a moderator:
Nakumbuka Prof. Sarungi na Dr. Mwinyi waliwahi kuwa mawaziri wa Ulinzi japo ni Human Doctors. Kisa kuna technical team nyuma yao.

Sio ombi langu shirika kubinafsishwa, Laah Asha!

Nafahamu Technical team ipo. Mfano IGP mstaafu alikuwa Said Mwema. Kwa sasa ni Ernest Mangu na kuna cheo chipukizi cha Makamu kimeundwa, japo hakikuwepo.
Huu ni mfano mzr kuchukuliwa na Technical team ya TANESCO.
 
Last edited by a moderator:
Hivi kati ya prof. muhongo aliyekata mirija ya mkono na lowasa aliyeshindwa kusoma mkataba wa Richmond nani wa kuwajibishwa?

report ya CAG na PAC huwa haziongopi na zote hazikumtaja uyo in arm wit a sjui Mkono kushiriki chochote katka wizi hule....Kwani hata uyo muhongo aliadhibiwa kwa lipi hasa?..ku resign au?....Kashtakiwa mahakama gani labda?....Ivi nyie wa TZ mtakua mambumbumbu hadi lini!!....hii nchi tunakaz kama watu wenyewe ndo kama nyie msoelewa ata vitu vidgo ivi....
Lowasa ali resign sabab ya kutajwa kwake kwe ile kashfa kama PM,na ndo utaratibu ilivyo dunia nzima....Sasa kaz ya kumshtaki inabaki kwa vyombo husika kama PCCB,police na Mahakama kutafta ushahidi na kumchukulia hatua...So kama hawakufanya hivyo,bas huo utakua uzembe wa vyombo hivyo na sio kumlaumu lowasa kan kwamba angetakiwa ajipeleke yeye Mahakamani.....
Jielewe wew acha kuwa kaa p*i.m.b.i...
 
Back
Top Bottom