Baada ya watangazaji hawa maarufu kutosikika hewani kwenye vipindi vyao kumekuwepo maneno mengi kila mmoja akisema lake, Mtangazaji @officialzungu yeye ametoa ukweli anachokifahamu ✍️
"Nimeona wanaharakati kadhaa wanafanya UPOTOSHAJI wakisema kuwa Bodi ya Ithibati imezuia wanahabari wakosoaji kutangaza kwa kizingizio kuwa hawana vigezo vya kitaaluma.
Kwa utafiti nilioufanya wanahabari waliozuiwa na Bodi ya Ithibati sio wakosoaji tu, Bali ni WOTE ambao hawajasomea taaluma ya uandishi wa habari; nitaorodhesha angalau wachache wasiotajwa makusudi kabisa na wakosoaji:
1. Juma Lokole ameondolewa
2. Mwijaku ameondolewa
3. Babalevo ameondolewa.
4. Maulid Kitenge ameondolewa
5. Zembwela ameondolewa
6. Mpoki ameondolewa
7. Idris Kitaa ameondolewa
8. Masanja Mkandamizaji ameondolewa
9. Dina Marios ameondolewa
10. Swebe Santana ameondolewa
Hawa WOTE ni watangazaji katika vituo vikubwa hapa nchini kwa miaka 7 mpaka 20, lakini watu hawasemi kuwa wameondolewa hewani, wanasema ni wachache tu ambao ni WAKOSOAJI jambo ambalo si la kweli kabisa.
"Nimeona wanaharakati kadhaa wanafanya UPOTOSHAJI wakisema kuwa Bodi ya Ithibati imezuia wanahabari wakosoaji kutangaza kwa kizingizio kuwa hawana vigezo vya kitaaluma.
Kwa utafiti nilioufanya wanahabari waliozuiwa na Bodi ya Ithibati sio wakosoaji tu, Bali ni WOTE ambao hawajasomea taaluma ya uandishi wa habari; nitaorodhesha angalau wachache wasiotajwa makusudi kabisa na wakosoaji:
1. Juma Lokole ameondolewa
2. Mwijaku ameondolewa
3. Babalevo ameondolewa.
4. Maulid Kitenge ameondolewa
5. Zembwela ameondolewa
6. Mpoki ameondolewa
7. Idris Kitaa ameondolewa
8. Masanja Mkandamizaji ameondolewa
9. Dina Marios ameondolewa
10. Swebe Santana ameondolewa
Hawa WOTE ni watangazaji katika vituo vikubwa hapa nchini kwa miaka 7 mpaka 20, lakini watu hawasemi kuwa wameondolewa hewani, wanasema ni wachache tu ambao ni WAKOSOAJI jambo ambalo si la kweli kabisa.