Hii n muhimu kabisa ili tujifunze kuheshimu walio na njaa.... au kuna siku tutapata na kusiku tutakosa. Vile vile njaa inatufunza kupambana kila nyakati.
Ou hiyo supu ya pweza umenikumbushq kunq kipindi nilienda Mtwara,kuna wale wamama wanapita mtaani na samaki na pweza wale pweza walikuwa wanauza kwa bei ndogo sana nilikuwa nabeba kwa 1,500/-