Sio kila saa mwanaume anataka kufanya mapenzi

Sio kila saa mwanaume anataka kufanya mapenzi

mmmh sidhani kama ungependa bila furaha ya maisha pesa. Mfano kama unavyo wish ungekua mdada then upate mwanaume mbahiliiiii shombo tupu vip hapa ungependa ku do?
Unadhani wenye pesa nyingi ndio wanainjoy zaidi? Inahitaji nafsi yenye kuridhika tu na kumpata mwelewa.
 
Na kama itatokea akihitaji mimi sihitaji and vice versa?
Yaani siku nne tu kwa mwezi?? Aaaah basi ngoja nikamuone dokita!
 
Sexual addict… . hakika huyu wa kwangu ni sexual addict maana sometimes najikuta naishiwa mpaka hela ya lodge
Teheee teheee wenzako hatukumbuki tulienda lini lodge,we inaelekea unakaa kwenu au kama sio kwenu basi unakaa chumba cha hovyo,demu wako pia ni kilaza,maana demu anaejielewa humpeleki lodge kamwe
 
Sasa huyo mke ntamjuaje kwamba anapenda kusex kabla sijamuoa?

Unajua kuoa haimaanishi kwamba utapata penzi kila unapohitaji!
Sasa unaoa ili iwe nn,mzizi wa ndoa ni sex,hawezi asiolewe abaki kwao alaaah..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom