BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,050
- 10,489
Binafsi ni mpenzi wa muziki especially Hip Hop that doesn't mean I don't listen to other kind of music. Muziki wowote mzuri mi nasikiliza nyuma nilikuwa napata shida kusikiliza muziki wa taarabu mbele ya watu nilikuwa natumia sana earphone napotaka kusikiliza taarabu na hii yote ilisababisha na jamii ambayo inaamini mwanaume anayesikiliza taarabu sio riziki.
Hiyo sio fair ushoga ni mtu sio vitu by the way kwenye dunia hii kuna watu wanaimba hiphop ngumu na still ni machoko. Ifike time tuache kuwa na mawazo yasiyo na mantiki Bali tuangalie facts.
Kuhusisha taarabu na ushoga sio sawa infact kuna taarabu za kina Issa matona zinaelimisha kuliko hata hizo Bongo Flava.
The infinite BabaMorgan
Hiyo sio fair ushoga ni mtu sio vitu by the way kwenye dunia hii kuna watu wanaimba hiphop ngumu na still ni machoko. Ifike time tuache kuwa na mawazo yasiyo na mantiki Bali tuangalie facts.
Kuhusisha taarabu na ushoga sio sawa infact kuna taarabu za kina Issa matona zinaelimisha kuliko hata hizo Bongo Flava.
The infinite BabaMorgan