Mbaruku ataifufua chadema iliyouliwa na mbowe kwa kufisadi pesa za ruzuku.
Muhimu ni kusikiliza sera za kila mmoja, mengineyo hayo hayana ushahid na ni story za vijiwe vya kahawa
Mkuu Mtoboasiri
Unadhani Kansa Mabruki angesemaje sasa iwapo Chadema hawamsapoti?
Ni wazi neno hili la Kansa limesadifu yaliyosemwa kabla hata hajachukua fomu kugombea uenyekiti (T) huko Chadema, ama unaonaje?
Mgombea Uenyekiti CHADEMA Kansa Mbarouk amelalamikia wafuasi wa chama hicho wanaosema hafai kuchaguliwa kwa sababu anashabikiwa na CCM.
Katika mahojiano na gazeti la FAHAMU mgombea huyo amesema haoni dhambi kupendwa na mashabiki wa CCM kwani hiyo ndiyo demokrasia.
Mgombea huyo anayeshutumiwa kuwa kibaraka wa CCM amewataka wajumbe wa mkutano mkuu wa Chadema kumchagua kwa sababu ndiye anayefaa.
Uchaguzi mkuu wa Chadema unafanyika Septemba 14 ambapo Kansa Mbarouk anashindana na Freeman Mbowe Mwenyekiti anayemaliza muda wake na akitarajiwa kutetea nafasi yake kwa ushindi wa kishindo.
Haaaa...Mmeshaanza kumkana mara hii?
Mbowe kaweka kibaraka agombee mbona alimuogopa Zitto Kabwe?
Kweli kabisa si dhambi kuungwa mkono na CCM!
Hata Mbowe baada ya kupata kashifa ya kuhongwa na Rostam na Mkono alisema kuwa si dhambi kuchukua pesa za CCM!
Mbowe kaweka kibaraka agombee mbona alimuogopa Zitto Kabwe?
Mbowe anahaha kuhamisha pesa za ruzuku kwenda kwenye account yake,,Ameshajua Mbaruku anashinda uchaguzi
Mbaruku ataifufua chadema iliyouliwa na mbowe kwa kufisadi pesa za ruzuku.
Huyo ni muislamu tena anatoka Tabora, kanda ya ziwa. Hawezi kushindana na chagaland mafia. Anajipptezea wakati au ni game ya akina mbowe kuleta upinzani dhaifu ili waonekane kama ni wana Democracia
Kansas Mbaruku anampa mbowe presha..