Sinza: Kahaba anatumia misukule kujiuza

Sinza: Kahaba anatumia misukule kujiuza

Wanaume wa dar mtapiga sana fisi, mbwa, punda, mbuzi n.k utajisikiaje pale unapogundua yule mrax unayepiga sio yeye kiuhalisia bali ni fisi na nyumbani umeacha mke mzuri tu.
 
Machalii wa kuruka na MiRAKSi ya corner bar na ambiance ni msala wazee. Mnaruka na mafisi niaje?

Nashukuru mungu sijapataga dhiki ya maku kiasi cha kwenda kutafuta mrakx. Nitapiga hata nyex babaangu ila sio nikanunue manzi road, ni usoro!!!
 
Dogo huyo ni mke wangu na mtotoetu wa tatu nkonae hapa ,mke wangu hajiuzi ni wivu tu,wivu tu
 
wewemd
Wanabodi,

Na declare interest: mimi ni muumini mzuri wa kununua machangudoa Sinza hivyo taarifa hii inatoka katika vyanzo vyangu vya ndani.

Kuna changudoa mmoja yupo Sinza Africa sana, huwa anakaa jirani kabisa na Ambiance na bar za jirani..

Changudoa huyo mweupe (sina hakika kama ni weupe OG), ana lafudhi ya Kisukuma. Chagudoa huyu amekuwa akilalamikiwa na wenzie kwa kujihusisha na imani za kishirikina katika biashara yake ya kujiuza.

Moja, amekuwa akishutumiwa kuwa anawafanyisha mapenzi wanaume na misukule. Hivyo wanaume huwa hawafanyi mapenzi na yeye bali wanafanya na misukule kwa kivuli chake yeye.

Mbili, amekuwa akitumia dawa za miti shamba ili kuvuta wateja. Amekuwa akishawishi na wenzie waende kusafisha nyota ili wapate wateja zaidi.

Tatu, amekuwa bingwa wa kuwapa dawa za kienyeji machangudoa wenzie ili kuondoa uchovu hasa wanapokuwa na wateja wengi. Kwa muujibu wa machagudoa ni kwamba ukipata wateja wengi usiku mmoja mda mwingine unapata hata kizungu zungu sababu ya uchovu hivyo binti huyu amekuwa akiwapa wenzie dawa ili waweze kufanya siku nzima bila kuchoka.

Nne, amekuwa akiwapumbaza wanaume na kuwaibia pesa kishirikina. Hivi jana ameiba milioni kumi za mfanyakazi wa idara nyeti akiwa na mwezie mmoja. Mwenzie amekamatwa lakini yeye hajulikani alipo. Ila haijafahamika ofisa huyo aliibiwaje milioni kumi, alitoka nazo wapi na alikuwa anaenda nazo wapi?

Tano, amekuwa akitengwa sana na wenzie kwakuwa inasemekana changudoa aliyekaribu nae huwa hafanyi kabisa biashara. Wanadai anawaibia nyota wenzie na huwa anapanga vichwa balaa bila kupumzika, 24x7.

Wasifu wake: Binti wa kisukuma, ana watoto watatu, mwanaume aliyezaa nae mtoto wa tatu anaishi Mwanza na huyo mwanaume anajua kazi ya mke wake lakini hana usemi kwasababu zinazoaminiwa za kishirikina.

KAMA ULIKUWA HUJUI: Hata machagudoa wanaamini Mungu yupo, kuna machangudoa wanasema kama wewe sio mshirikina ni bora kumuomba Mungu. Kwakuwa katika biashara zao kuna chuki na visasi sana, huwa wanatupiana mpaka majini.

Mi sijataja jina la mtu, tafadhali dada usinitafute
Mmh! inaonekana ni Mdau wa hiyo huduma inayotolewa hapo?
Umejuwaje hayo yote kuhusu huyo binti kama hukufika pale?
Usiniambie kuwa umesimuliwa!
 
Hiyo ya kuwatumia misukule ni hivii huyo mwanamke ana dawa yake flani kabla hajaonana na mwanaume anachanganya na mafuta ya kujipaka anajipaka usoni kwahiyo wanaume wanakuwa wanamwona yeye tu

Halafu mkiingia chumbani anajipaka katika sehemu zingine za mwili hapo unajikuta unatoa hela zote unamkabidhi yeye na yeye kuna kiasi anapeleka kwa mganga wake.

Kuna kipindi alikuwa anaingia chumbani anaonekana ni yeye ila nafsi yake inabaki nje hlf mwanaume anamgonga mtu mwingine ambae huyo dada alimtoa kimazingara kijijini kwa mganga wake ili yeye asichoshwe.

Ni mzuri haswa huyo mwanamke, ana self za kupangisha Mwanza, Dsm na Arusha ila yeye hajajenga.

Mchana anavaa hijab na hatoki nje, wanaomchafua sasahv ni wenzake akiwepo mdogo wake kabisa.
Aisee! Dunia ina mambo mengi sana!

Chukua picha ya aliyechukuliwa kwenda kutumikishwa atakavyozeeka angali binti!

Kuna watu wengi sana wanaotumikishwa miili yao bila kujijua au bila ridhaa zao. Wamebebeshwa sura zisizo zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasukuma tena??
Wanabodi,

Na declare interest: mimi ni muumini mzuri wa kununua machangudoa Sinza hivyo taarifa hii inatoka katika vyanzo vyangu vya ndani.

Kuna changudoa mmoja yupo Sinza Africa sana, huwa anakaa jirani kabisa na Ambiance na bar za jirani..

Changudoa huyo mweupe (sina hakika kama ni weupe OG), ana lafudhi ya Kisukuma. Chagudoa huyu amekuwa akilalamikiwa na wenzie kwa kujihusisha na imani za kishirikina katika biashara yake ya kujiuza.

Moja, amekuwa akishutumiwa kuwa anawafanyisha mapenzi wanaume na misukule. Hivyo wanaume huwa hawafanyi mapenzi na yeye bali wanafanya na misukule kwa kivuli chake yeye.

Mbili, amekuwa akitumia dawa za miti shamba ili kuvuta wateja. Amekuwa akishawishi na wenzie waende kusafisha nyota ili wapate wateja zaidi.

Tatu, amekuwa bingwa wa kuwapa dawa za kienyeji machangudoa wenzie ili kuondoa uchovu hasa wanapokuwa na wateja wengi. Kwa muujibu wa machagudoa ni kwamba ukipata wateja wengi usiku mmoja mda mwingine unapata hata kizungu zungu sababu ya uchovu hivyo binti huyu amekuwa akiwapa wenzie dawa ili waweze kufanya siku nzima bila kuchoka.

Nne, amekuwa akiwapumbaza wanaume na kuwaibia pesa kishirikina. Hivi jana ameiba milioni kumi za mfanyakazi wa idara nyeti akiwa na mwezie mmoja. Mwenzie amekamatwa lakini yeye hajulikani alipo. Ila haijafahamika ofisa huyo aliibiwaje milioni kumi, alitoka nazo wapi na alikuwa anaenda nazo wapi?

Tano, amekuwa akitengwa sana na wenzie kwakuwa inasemekana changudoa aliyekaribu nae huwa hafanyi kabisa biashara. Wanadai anawaibia nyota wenzie na huwa anapanga vichwa balaa bila kupumzika, 24x7.

Wasifu wake: Binti wa kisukuma, ana watoto watatu, mwanaume aliyezaa nae mtoto wa tatu anaishi Mwanza na huyo mwanaume anajua kazi ya mke wake lakini hana usemi kwasababu zinazoaminiwa za kishirikina.

KAMA ULIKUWA HUJUI: Hata machagudoa wanaamini Mungu yupo, kuna machangudoa wanasema kama wewe sio mshirikina ni bora kumuomba Mungu. Kwakuwa katika biashara zao kuna chuki na visasi sana, huwa wanatupiana mpaka majini.

Mi sijataja jina la mtu, tafadhali dada usinitafute

Kitochi Original
 
Wanabodi,

Na declare interest: mimi ni muumini mzuri wa kununua machangudoa Sinza hivyo taarifa hii inatoka katika vyanzo vyangu vya ndani.

Kuna changudoa mmoja yupo Sinza Africa sana, huwa anakaa jirani kabisa na Ambiance na bar za jirani..

Changudoa huyo mweupe (sina hakika kama ni weupe OG), ana lafudhi ya Kisukuma. Chagudoa huyu amekuwa akilalamikiwa na wenzie kwa kujihusisha na imani za kishirikina katika biashara yake ya kujiuza.

Moja, amekuwa akishutumiwa kuwa anawafanyisha mapenzi wanaume na misukule. Hivyo wanaume huwa hawafanyi mapenzi na yeye bali wanafanya na misukule kwa kivuli chake yeye.

Mbili, amekuwa akitumia dawa za miti shamba ili kuvuta wateja. Amekuwa akishawishi na wenzie waende kusafisha nyota ili wapate wateja zaidi.

Tatu, amekuwa bingwa wa kuwapa dawa za kienyeji machangudoa wenzie ili kuondoa uchovu hasa wanapokuwa na wateja wengi. Kwa muujibu wa machagudoa ni kwamba ukipata wateja wengi usiku mmoja mda mwingine unapata hata kizungu zungu sababu ya uchovu hivyo binti huyu amekuwa akiwapa wenzie dawa ili waweze kufanya siku nzima bila kuchoka.

Nne, amekuwa akiwapumbaza wanaume na kuwaibia pesa kishirikina. Hivi jana ameiba milioni kumi za mfanyakazi wa idara nyeti akiwa na mwezie mmoja. Mwenzie amekamatwa lakini yeye hajulikani alipo. Ila haijafahamika ofisa huyo aliibiwaje milioni kumi, alitoka nazo wapi na alikuwa anaenda nazo wapi?

Tano, amekuwa akitengwa sana na wenzie kwakuwa inasemekana changudoa aliyekaribu nae huwa hafanyi kabisa biashara. Wanadai anawaibia nyota wenzie na huwa anapanga vichwa balaa bila kupumzika, 24x7.

Wasifu wake: Binti wa kisukuma, ana watoto watatu, mwanaume aliyezaa nae mtoto wa tatu anaishi Mwanza na huyo mwanaume anajua kazi ya mke wake lakini hana usemi kwasababu zinazoaminiwa za kishirikina.

KAMA ULIKUWA HUJUI: Hata machagudoa wanaamini Mungu yupo, kuna machangudoa wanasema kama wewe sio mshirikina ni bora kumuomba Mungu. Kwakuwa katika biashara zao kuna chuki na visasi sana, huwa wanatupiana mpaka majini.

Mi sijataja jina la mtu, tafadhali dada usinitafute
Ameshakutambuwa hivyo kaa tayari leo usiku atakuibukia na wewe utaona umepata kume umepatikana.
 
Back
Top Bottom