Sinza: Kahaba anatumia misukule kujiuza

Sinza: Kahaba anatumia misukule kujiuza

Wanabodi,

Na declare interest: mimi ni muumini mzuri wa kununua machangudoa Sinza hivyo taarifa hii inatoka katika vyanzo vyangu vya ndani.

Kuna changudoa mmoja yupo Sinza Africa sana, huwa anakaa jirani kabisa na Ambiance na bar za jirani..

Changudoa huyo mweupe (sina hakika kama ni weupe OG), ana lafudhi ya Kisukuma. Chagudoa huyu amekuwa akilalamikiwa na wenzie kwa kujihusisha na imani za kishirikina katika biashara yake ya kujiuza.

Moja, amekuwa akishutumiwa kuwa anawafanyisha mapenzi wanaume na misukule. Hivyo wanaume huwa hawafanyi mapenzi na yeye bali wanafanya na misukule kwa kivuli chake yeye.

Mbili, amekuwa akitumia dawa za miti shamba ili kuvuta wateja. Amekuwa akishawishi na wenzie waende kusafisha nyota ili wapate wateja zaidi.

Tatu, amekuwa bingwa wa kuwapa dawa za kienyeji machangudoa wenzie ili kuondoa uchovu hasa wanapokuwa na wateja wengi. Kwa muujibu wa machagudoa ni kwamba ukipata wateja wengi usiku mmoja mda mwingine unapata hata kizungu zungu sababu ya uchovu hivyo binti huyu amekuwa akiwapa wenzie dawa ili waweze kufanya siku nzima bila kuchoka.

Nne, amekuwa akiwapumbaza wanaume na kuwaibia pesa kishirikina. Hivi jana ameiba milioni kumi za mfanyakazi wa idara nyeti akiwa na mwezie mmoja. Mwenzie amekamatwa lakini yeye hajulikani alipo. Ila haijafahamika ofisa huyo aliibiwaje milioni kumi, alitoka nazo wapi na alikuwa anaenda nazo wapi?

Tano, amekuwa akitengwa sana na wenzie kwakuwa inasemekana changudoa aliyekaribu nae huwa hafanyi kabisa biashara. Wanadai anawaibia nyota wenzie na huwa anapanga vichwa balaa bila kupumzika, 24x7.

Wasifu wake: Binti wa kisukuma, ana watoto watatu, mwanaume aliyezaa nae mtoto wa tatu anaishi Mwanza na huyo mwanaume anajua kazi ya mke wake lakini hana usemi kwasababu zinazoaminiwa za kishirikina.

KAMA ULIKUWA HUJUI: Hata machagudoa wanaamini Mungu yupo, kuna machangudoa wanasema kama wewe sio mshirikina ni bora kumuomba Mungu. Kwakuwa katika biashara zao kuna chuki na visasi sana, huwa wanatupiana mpaka majini.

Mi sijataja jina la mtu, tafadhali dada usinitafute
joshua_ok
 
daah inawezekana aisee...kuna siku nilinunua ngoma pale...nikala mzigo nikarud home saa 8usik nikaamka kesho yake saa 8usiku tena......nooma niliona miujiza aisee kumbe inawezekana nigegeda mzukule....sema mtamu balaa😛
 
Wanamme mtapenda tu nyie c mnajua kununua sana eeeh sasa ipo cku mtanunuliwa nyie ....
 
Wanabodi,

Na declare interest: mimi ni muumini mzuri wa kununua machangudoa Sinza hivyo taarifa hii inatoka katika vyanzo vyangu vya ndani.

Kuna changudoa mmoja yupo Sinza Africa sana, huwa anakaa jirani kabisa na Ambiance na bar za jirani..

Changudoa huyo mweupe (sina hakika kama ni weupe OG), ana lafudhi ya Kisukuma. Chagudoa huyu amekuwa akilalamikiwa na wenzie kwa kujihusisha na imani za kishirikina katika biashara yake ya kujiuza.

Moja, amekuwa akishutumiwa kuwa anawafanyisha mapenzi wanaume na misukule. Hivyo wanaume huwa hawafanyi mapenzi na yeye bali wanafanya na misukule kwa kivuli chake yeye.

Mbili, amekuwa akitumia dawa za miti shamba ili kuvuta wateja. Amekuwa akishawishi na wenzie waende kusafisha nyota ili wapate wateja zaidi.

Tatu, amekuwa bingwa wa kuwapa dawa za kienyeji machangudoa wenzie ili kuondoa uchovu hasa wanapokuwa na wateja wengi. Kwa muujibu wa machagudoa ni kwamba ukipata wateja wengi usiku mmoja mda mwingine unapata hata kizungu zungu sababu ya uchovu hivyo binti huyu amekuwa akiwapa wenzie dawa ili waweze kufanya siku nzima bila kuchoka.

Nne, amekuwa akiwapumbaza wanaume na kuwaibia pesa kishirikina. Hivi jana ameiba milioni kumi za mfanyakazi wa idara nyeti akiwa na mwezie mmoja. Mwenzie amekamatwa lakini yeye hajulikani alipo. Ila haijafahamika ofisa huyo aliibiwaje milioni kumi, alitoka nazo wapi na alikuwa anaenda nazo wapi?

Tano, amekuwa akitengwa sana na wenzie kwakuwa inasemekana changudoa aliyekaribu nae huwa hafanyi kabisa biashara. Wanadai anawaibia nyota wenzie na huwa anapanga vichwa balaa bila kupumzika, 24x7.

Wasifu wake: Binti wa kisukuma, ana watoto watatu, mwanaume aliyezaa nae mtoto wa tatu anaishi Mwanza na huyo mwanaume anajua kazi ya mke wake lakini hana usemi kwasababu zinazoaminiwa za kishirikina.

KAMA ULIKUWA HUJUI: Hata machagudoa wanaamini Mungu yupo, kuna machangudoa wanasema kama wewe sio mshirikina ni bora kumuomba Mungu. Kwakuwa katika biashara zao kuna chuki na visasi sana, huwa wanatupiana mpaka majini.

Mi sijataja jina la mtu, tafadhali dada usinitafute
Ushundani wa biashara huooo
 
daah inawezekana aisee...kuna siku nilinunua ngoma pale...nikala mzigo nikarud home saa 8usik nikaamka kesho yake saa 8usiku tena......nooma niliona miujiza aisee kumbe inawezekana nigegeda mzukule.... balaa😛
duuuuu hi ni nomaaaaa uende uka
jaributena mkuuu
 
Ivi misukule inapata maambukizi ya ukimwi?
 
Kwa taarifa tu mkuu,90% ya machangudoa wanatumia ushirikina kuwapata samaki wao,kuna changudoa mmoja nilikutanaga nae Double Tree,kama friend tuu siku moja ndio akaanza kunipa experience yao,na kweli alipomuona mtasha anaingia bar,nae kaenda chooni kujipaka dawa zake,alipotoka moja kwa moja kaenda pale bar walipokuwepo waungu,baada ya muda kidogo akapita na mtasha anaenda kumpiga mambo
 
watoto wa afrika sana...wapi vaileth mwenye hips na chuchu ndogo
 
Radhia wangu wewe namba one , nakupenda sana si utani na usisikize ngedembwe za jiraan
Kwani watu wa jf wana chuki asilaaan
 
Back
Top Bottom