Mkendo
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 3,132
- 2,223
Ubeligiji walikuwa na kikosi pale cha kulinda Amani,lakini kilchotokea mpaka leo imekuwa ni habari nyingine,Mataifa makubwa hayakujua? Uingereza, Ufaransa, Ubelgiji, USA
kwa nature ilivyo nchi hizo tatu (DRC, BURUNDI, RWANDA) Wabelgiji, Wafaransa hawa wote wana influence kubwa sana humo kama mtu anafuatilia nchi hizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ikumbukwe baada ya ndege iliyowabeba Maraisi wawili Habyarimana na Cyprian Ntaryamila wa Burundi kuangushwa,kisasi kilichofuatia ni kuuwawa Kikatili waziri Mkuu wa Rwanda mtutsi Mwanamama Wilingimana Agatha ...sorry Mkuu Bossless kwa kuigilia uzi wako niko radhi kusahihishwa.