Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Story inavutia sana japo inasikitisha sana, binafsi sikuwa Rwanda ila nilikuwa nashuhudia maiti zikiwa zimetungwa kwenye ki mti ( mtungoni) unakuta baba, mama na watoto wote wamewekwa kwenye ki mti km samaki zikiwa zinatiririka kewnye maji kupitia mto Kagera..inaumiza sana to the moment hili suala haliwez kusahaulika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ooh my God kumbe waliuawa kinyama sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hupendi kuambiwa ukweli?
Basi mimi nikarudi kulala kwenye gari,alfajiri na mapema gari likaanza safari tena nakumbuka tulifika stand kuu Kahama kana saa tatu usiku hivi. yani tulitumia kama siku mbili hivi Dar-kahama .leo hii dar - Kahama unatumia siku moja umefika halafu utasikia mtu anasema nchini hii bwana hakuna maendeleo kabisa daa!!!
“kama hizi zote hazina haja”

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka 1989 usiwe mbulula
Kimbari ni 1994
Bossless,

We Muongo, ulienda mwezi WA sita hahahaha.

Vita imeanza mwezi WA nne imeisha mwezi WA Saba but wewe ulipata KAZI mwezi WA sita wakati serikali ya Rwanda imevurumishwa na Rpf na kukimbilia Gisenyi Kwa kina Haruna Niyonzima huku mapigano makali yakiendelea.

Anyways wakati unapata hiyo KAZI Rais wa Rwanda alikuwa anaitwa Nani?

Jibu huna Mpira uishie hapa.

" falsus in uno falsus in omnibus" false in one thing false in every thing.

@moderators futeni uzushi huu unachafua hadhi ya jf
 
Ahahahaha! Pole sana ndugu yang lakin haya matusi na kejeli zote hizi umezitaka wewe mwenyewe
Nasema hivii wew ulistahili kutukanwa tena zaidi ya hapa. Shubamiti wew, Kichwa kama sambusa
Unaleta stori hapa aya mbili tu unasema itaendelea, afu unakuja kuleta comments za kubishana na wasomaji wako badala ya kuendeleza stori yako. Kama co Ungese ni nini huo? Wew ulistahili kutukana afu una bahati hujatukanwa sana
Go to hell

Dogo unalalama nini? mbona ameshashusha nondo za kutosha acha ugenye heshimu babu nyambaf


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye hii thread unaweza ukajifunza kwamba:
Wengi wetu (waTz) sio wavumilivu na mwisho wa siku tunalaumu Sana na kutoa maneno yasiyopendeza bila kujua upande wa mlengwa uko vipi.
Halafu wengine mnashindwa kuvumiliana mnatukanana wenyewe kwa wenyewe kisa kupanic.
Kwani mtu akiku quote kakujibu vibaya lazima ujionyeshe wewe mwamba kwa kumtusi?! Tubadilike

Hivi mtu amejielezea Hawezi kuandika haraka lakini mtu unakuja unatukana au kutoa kashfa na maneno mabaya what does that indicate??!

Pia, tujue mtu wa 50+ hashindi na simu muda wote emergencies za hapa na pale, wageni au majukumu katika familia na eneo husika la riziki zinaweza mbana kufanya hivyo kwa wakati. Hebu tuache kuwa na mawazo+ mihemko hasi.

Trust the process, akisema ataleta jua kutulia kusubiri na uelewe huyu anayeandika ni binadamu na anakumbana na maswahibu ya hapa na pale Kama wewe so when the story doesn't come on time, Relax and be positive.
 
Kuna mbwa wengi sana humu
Kwenye hii thread unaweza ukajifunza kwamba:
Wengi wetu (waTz) sio wavumilivu na mwisho wa siku tunalaumu Sana na kutoa maneno yasiyopendeza bila kujua upande wa mlengwa uko vipi.

Hivi mtu amejielezea Hawezi kuandika haraka lakini mtu unakuja unatukana au kutoa kashfa na maneno mabaya what does that indicate??!

Pia, tujue mtu wa 50+ hashindi na simu muda wote emergencies za hapa na pale, wageni au majukumu katika familia na eneo husika la riziki zinaweza mbana kufanya hivyo kwa wakati. Hebu tuache kuwa na mawazo+ mihemko hasi.

Trust the process, akisema ataleta hua kutulia kusubiri na uelewe huyu anayeandika ni binadamu na anakumbana na maswahibu ya hapa na pale Kama wewe so when the story doesn't come on time, Relax and be positive.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmhhh mbona
Huyo wa Burundi aliitwa Cyprien Ntaryamira. Nae alikuwa na ndege yake lakini aliamua kupanda ndege ya jirani yake kwa vile ile ya Habyarimana ambayo alikuwa kapewa na serikali ya Ufaransa ilikuwa ni ya kisasa na yenye kasi zaidi kuliko ya kwake. Pia walikuwa na mambo yao ya kuteta wao kama marais na baadhi ya wasaidizi wao.

Chini ni picha ya makazi ya rais Habyarimana ambapo nyuma ya nyumba hiyo ndipo ndege iliyowachukua marais hao ilipoangukia baada ya kuwa imeshambuliwa. Mahesabu yalipigwa kiasi kwamba ndege ilipotwangwa makombora ikiwa angani ilikuja kuangukia ndani kabisa ya makazi ya rais maeneo ya Kanombe umbali mfupi kutoka ulipo uwanja wa ndege wa Kigali. Picha nyingine ni mbaki ya ndege hiyo iliyotunguliwa ambayo hadi leo yapo kwenye makazi hayo japo uwa hawaruhusu watu kuyapiga picha labda upige kiwiziwizi.

Mara kadhaa nimefika kwenye eneo hilo ambalo kwa sasa ni kwa ajili ya makumbusho. Hata hivyo uwa nashindwa kuamini kuwa pale kweli palikuwa ni makazi ya rais labda pengine kutokana na umasikini wa nchi hiyo kwa miaka hiyo. Mfano ukuta wenyewe unaozunguka makazi hayo ni wa matofali ya kuchoma tena ya kawaida tu na pia jengo lenyewe kama linavyoonekana pichani ni la kawaida tu japo ndani kulikuwa na ulinzi na tahadhari za kutosha za kiusalama plus ushirikina wa hali ya juu.
Kama haijakaa kiprotocal vile
 
Kitu nimejifunza hadi sasa:
1. Kutajwa kwa Dar, Nairobi, Kampala, Kinshasa, Ufaransa, Ubeligiji na Marekani, ni dhahiri vita haikuwa ya watusi na wahutu peke yao. Majabari ya vita hiyo yalikuwa nje ya Rwanda.

2. Vita si ya kujaribu kabisa kwani shetani hufanya kazi mwenyewe badala ya kuwatuma wasaidizi wake.

3. Kwamba malori yalipita juu miili ilozagaa barabarani, ni ishara kuwa mapigano Rwanda yalifikia hatua ambayo pengine ulimwengu haukuelezwa ukweli wa kilichoendelea huko na hivyo kukosa usaidizi stahiki wakati muafaka.

4. Ubalozi wa Tanzania kuwa kimbilio, na kutoshambuliwa kama ilivyokuwa kwa balozi nyinginezo kunatia mashaka iwapo hatukuwa washirika muhimu katika vita hiyo.

5. Media, hasa redio ni chombo hatari mno kikishindwa kufuata misingi bora ya kiutendaji.

Mwisho kuliko vita ije hapa kwetu bora CCM watawale milele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitu nimejifunza hadi sasa:
1. Kutajwa kwa Dar, Nairobi, Kampala, Kinshasa, Ufaransa, Ubeligiji na Marekani, ni dhahiri vita haikuwa ya watusi na wahutu peke yao. Majabari ya vita hiyo yalikuwa nje ya Rwanda.

2. Vita si ya kujaribu kabisa kwani shetani hufanya kazi mwenyewe badala ya kuwatuma wasaidizi wake.

3. Kwamba malori yalipita juu miili ilozagaa barabarani, ni ishara kuwa mapigano Rwanda yalifikia hatua ambayo pengine ulimwengu haukuelezwa ukweli wa kilichoendelea huko na hivyo kukosa usaidizi stahiki wakati muafaka.

4. Ubalozi wa Tanzania kuwa kimbilio, na kutoshambuliwa kama ilivyokuwa kwa balozi nyinginezo kunatia mashaka iwapo hatukuwa washirika muhimu katika vita hiyo.

5. Media, hasa redio ni chombo hatari mno kikishindwa kufuata misingi bora ya kiutendaji.

Mwisho kuliko vita ije hapa kwetu bora CCM watawale milele.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo namba 4 ni balozi zipi zilishambuliwa na watu kuuawa ndani ya balozi hizo? Kuheshimiwa kwa ubalozi wa Tanzania siyo kwa sababu ya jitihada zake ilizokuwa ikifanya na pia kuwa mwenyeji wa mazungumzo ya kutafuta muafaka kati ya serikali ya Habyarimana na vyama vya upinzani ambavyo baadhi yake vilikuwa vikiendesha vita ya msituni?
 
Back
Top Bottom