Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Inaendelea.......

Sasa hapa ntaelezea tukio ambalo lilitokea hapa hapa ubalozini tukiwa kazini hatuna hili wala lile tena siku yenyewe j3, ni hivi kwanza naombanizungumzie jambo la kikazi kidogo unajua balozi ni mtu mwenye mambo mengi sanaa ya siri na ya wazi ndo maana nchii nyingi zilizoendelea hupenda kuwapeleka mabalozi ambao ni watu ambao ni mawaziri na wanadiplomasia kweli kweli wengine huwa ni watu wazito jeshini, au wameshawahi kukaa kwenye vitengo vya usalama wa nchii ,sasa ipo hivi unaweza ukawa unafanya kazi ubalozini ukawa unamuona balozi kama mara mbili hivi kwa week au hata mara tatu kwa mwezi si kwamba hayupo anakuwepo ila anakuwa na mambo mengine sanaa.

Sasa huyu mama kama nilivyosema awali ni mwanamama mweupe ila shupavu aise sijawahi ona ntaelezea matukio mawili aliyoyafanya humu hadi nikamvulia kofia , wala si mwongeaji sanaa sasa siku hiyo alikuwepo ofisini tukiwa tunaendelea na majukumu yetu kama kawaida ghafla tukasikia kelele kwa mbali kama kuna watu wamekimbizwa kelele nyingi sanaa kundi kubwa la watu wakawa wanakuja usawa wa ubalozi wetu, ubalozi ulikuwa imeangaliana na ubalozi wa malawi kama sio mozambique kuna Askali alikuwa analinda pale wa nchi yao ila kwetu walikuwa wanalinda walinzi wa kampuni za pale pale kigali ,watu wakawa wazidi kusogea sasa, ubalozi wetu ulikuwa na geti fupi la kama futi sita hivi, sisi tukawa tumejitokeza uwani kuangalia kulikoni ghafla tukaona watu wanaruka kuingia ubalozi wa jirani na akina dada wawili wanaruka kuingia ubalozi wetu na muonekano wao ulikuwa wakitusi mpaka hapo tukaelewa nini kinachoendelea na kwanini wanakimbizwa wauawe si vinginevyo sasa hapo ndo niliposhuhudia ujasiri ambao sijawahi uona kwa mwanamke yeyote toka nizaliwe

Wakati wale watu wanatishia kuingia ubalozini, Balozi akatokea ofisini kwake akawa anawaangalia tu bila kuongea chochote huku kushikilia redio call na ndo mara ya kwanza kumuona balozi ameshikilia redio call ikawa wanaangaliana balozi anawaangalia na wao wanamuangalia sisi wanaume kwa mabinti tumeshakimbia tupo gereje ndogo tunachungulia madirishani ila
Tunachungulia nakusikia kinachoendelea nje, sasa wao wanaimba na kupiga kelele za kutaka balozi awatoe hao mabinti balozi yeye akawa anaongea na redio call ,hebu vuta picha kibaka kakimbilia kwako halafu wananchi wanazunguka nyumba yako wanakwambia wanakupa dakika 4 uwe umewatoa la sivyo wanarushs magrouneti humo sasa hali ilikuwa kama ilivyo kuwa siku hiyo vurugu na makelele yakawa yanaendelea ubalozi mzima tumezungukwa ghafla akaruka njemba moja imejazia kweli kweli na panga lake, ikawa inamfuata balozi wala mama hukukimbia kurudi ndani alisimama hapo hapo, nilichosikia aliapokuwa anaongea kwenye redio call upande wa pili kwamba sasa mmeamua kuichokozaa tanzania kwa makusudi na umewatuma watu wako waje kuwaua watanzania ila tusilaumiane ila alikuwa anaongea kwa kinyarwanda balozi alikuwa anabonga kinyarwanda kama chake vile, ile njemba ikawa inazidi kumfuata ikafanya kama inatanyanyua panga kumkata shingoni, ndo akawa badala ya kujali kinachoendelea pale ndo akawa anazidi kulumbana na alikuwa anaongea nae na alikuwa kwenye redio call, njemba ikashusha panga taratibu ikawa inaisugua panga lake kwenye matiti yake yule mama (balozi) akalivuta lile panga akalitupa nje ya fensi aisee ile njemba ili kasirika ikawa inatukana kwa kinyarwanda vibaya ila kumpiga haimpigi ghafla ilipigwa filimbi yule njemba akarudi nyuma akapanda geti ikarukia njee na wenzake wakawa wanaimba tutarudi tanzania tunaficha ing'otanyi yani Watusi. Mara balozi dakika hiyo hiyo akawasha gari akafunguliwa geri akaondoka alikoelekea hatujui sasa ikawa kimbembe kwa tuliobaki mle na wale akina dada.uongo mbaya wale akina dada walikuwa visu hatariii ila Mbele ya kifo sikukumbuka hilo .

Jioni ikafika kila mtu akaondoka tukawa tumewaacha wale akina dada na mlinzi mle ubalozini mimi nikawahi geto kwangu mapema sikutaka siku hiyo kuzunguka mitaani nikalala bila hata kula, hamu unaotoa wapi ya kula wakati mchana umeponea chupuchupu .asubuhi tuliporudi tulikuta balozi amewachukua na ameondoka nao alipowapeleka hatujui mpaka leo huwa najiuliza aliwapeleke wapi mji ule uliojaa damu za watu.

Naomba swala matokio niishie hapa kwani matokeo madogomadogo mengi yalikuwa mengi sanaa sasa tutaendelea na hatua ya mwanzoni mwa mwaka 1993 ....sasa tunaingia katika hali ya hatari kuwahi kushuhudia katika maisha yangu yote.

Itaendeleaaaaaa.......... Usiku.

Habari zenu wakubwa kwa wadogo.

Kwanza napenda kutoa pole na shughuli za kutwa kwa wale wahangaikaji wote kama mimi ambao kila siku lazima tutoke ili tuweze kujipatia riziki halali kila siku iendayo kwa mungu. Tuseme wote asante mungu.

Nisiwachoshe niende moja kwa moja kwenye mada,mdaa huu wakati naandika huu ushuhuda wangu binafsi ambayo nimeishuhudia kwa macho yangu mawili nchini rwanda wakati wa vita ya kikabila ,wenyewe hupenda kuiita mauji ya halaiki.

Stori inaanza wakati ndo nimemaliza masomo yangu ya uhasibu ngazi ya stashahada mwaka 1989 (sintotaja chuo hicho) nikajaribu kuomba kazi wizara ya mambo ya njee mungu si Athumani nikapata kazi ubalozi lakini nikapaangiwa kituo changu cha kazi kigali-Rwanda, kama sijasahau ubalozi Tanzania ulikuwa maeneo yanaitwa KICHUKIRO ,kwa sasa sijui kama bado upo palepale au vipi sina uhakika.

basi mwezi wa sita baada ya kukamilisha taratibu zote nikaanza safari ya kwenda Rwanda kituo changu cha kazi kipya,ajira mpya na mara ya kwanza kusafiri nje ya Tanzania... Safari ikaanza kwenda kuanza maisha mapya nchi ya watu ,mbali na ndugu jamaa na marafiki nikiwa sijui chochote kuhusu nchi hiyo..

Angalizo. naomba tuvulimiliane ni long stori kidogo na yanaweza jitokeza makosa ya kiundishi na kifasihi.... Ntaelezea mambo mengi sana ya kutisha ambayo niliyashuhudia kwa macho yangu mwenyewe ambayo hadi leo nimejitahidi kuyasahau lakini imeshindika kabisa.

Safari inaanza pale Mnazi moja nakumbuka enzi zile kulikuwa hakuna mambo ya Booking. unawahi alfajiri na mapema unatafuta basi lako unapanda tu unasubiri safari ianze.

Basi nikiwa na mabegi yangu na shilingi za kitanzania 60 elfu(nilipewa kwa ajili safari na kujikimu na passport ) tu ,naianza safari ya kwenda Kahama, safari ikaanza midaa ya kama saa moja kamili asubuhi (jina la basi lile nimelisahau ila nakumbuka lilikuwa rayland) kipindi hicho barabara ni vumbi tupu changarawe la vumbi hadi linaingia kupitia madirishani, baada ya safari ya uchovu mwingi hatimae saa nane usiku tunaingia singida stand. Mimi mgeni sijui niende uelekeo gani ikumbukwe miaka ile nyumba za wageni zilikuwa za kuhesabu basi ikabidi tushuke pale stand tukawa tunakula mikate na chai na wengine chai na kahawa.

Basi mimi nikarudi kulala kwenye gari,alfajiri na mapema gari likaanza safari tena nakumbuka tulifika stand kuu Kahama kana saa tatu usiku hivi. yani tulitumia kama siku mbili hivi Dar-kahama .leo hii dar - Kahama unatumia siku moja umefika halafu utasikia mtu anasema nchini hii bwana hakuna maendeleo kabisa daa!!!

Tumefika Kahama stand tumepokelewa na wapiga debe enzi hizo wao ndo walikuwa kama mawakala wa magari makubwa anakubebea mzigo hadi kwenye gari unalipa nauli yeye anachukua chake mnaachana hapo hapo hapo ni usiku inabidi kupata gari ya kwenda boda ya Rwanda na Tanzania Rusumo hapo unavuka Mpaka, kuna mto mkubwa unaitwa mto Rusumo unapita kwenye daraja la chuma kama lile lile liloejengwa na wanajeshi pale njia panda Kawe unavuka ng'ambo ukagonga passport ,cha kuchekesha pale kulikuwa hakuna magari ya abiria makubwa.

Magari ya abiria kutoka boda hadi kigali mjini yalikuwa hakuna, ilikuwa inakubidi upande roli la mizigo au abiria mjichange kwa makundi mkodi magari madogo kama tax ila mnabananishwa humo hatari na mizigo juu, kutoka boda hadi kigali ilikuwa kama mwendo wa masaa nane hivi kuingia kigali mjini.
Hatimae baada ya kubadilisha fedha zetu kuwa mafaranga tukapata usafiri wa kutufikisha kigali nakumbuka kundi langu kwenye gari tulilokodi nilipanda na wazaire watupu hivyo kelele zilikuwa nyingi hadi tunaingia kigali wanaimba nakuongea sanaa ubishi mwingi mara mpira mara siasa ili mradi makelele tu.

Saa tisa mchana nikawa tumewasili kigali town enzi hizo sijui lolote kuhusu mji huo zaidi ya address na namba za simu ikabidi niangaze angalau kupata simu lakini wapi,aise kinyarwanda sijui na wao kiswahili kigumu kila nae mujliza ila kupata mawasiliano sikupata msaada ikabidi nikasogolea kwenye stand ya mabus madogo nikamuulize konda kuwa nataka kwenda ubalozi wa Tanzania akaishia kucheka tu niligundua hakunielewa lugha .

Nakumbuka nilikaa stand pale hadi saa kumi na mbili bila bila ikabidi niulizie sehemu pakulala hapo nikaeleweka nikaambiwa lazima upande bus nipelekwe sehemu inaitwa NYAMIRAMBO na nikaambiwa pia kuwa kuna waswahili wengi nikapanda bus hadi nyamirambo nikashushwa tu stand konda akanionyesha kuna hoteli moja ilikuwa imeandikwa nakumbuka inaitwa kama sijasahau ilikuwa inaitwa IMHALA ila nyamirambo ilichanganya kigodo naweza fananisha Magomeni enzi zile.


Nikaenda nikalipia chumba nikaomba kuelekezwa eneo la kula nikaelekezwa, nikaenda nikala halafu nikarudi kujilaza nikipanga namna ya kuingia kesho u abalozi wa Tanzania kuanza majukumu mapya .

Itaendelea...........





Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa
Inaendelea.......

Sasa hapa ntaelezea tukio ambalo lilitokea hapa hapa ubalozini tukiwa kazini hatuna hili wala lile tena siku yenyewe j3, ni hivi kwanza naombanizungumzie jambo la kikazi kidogo unajua balozi ni mtu mwenye mambo mengi sanaa ya siri na ya wazi ndo maana nchii nyingi zilizoendelea hupenda kuwapeleka mabalozi ambao ni watu ambao ni mawaziri na wanadiplomasia kweli kweli wengine huwa ni watu wazito jeshini, au wameshawahi kukaa kwenye vitengo vya usalama wa nchii ,sasa ipo hivi unaweza ukawa unafanya kazi ubalozini ukawa unamuona balozi kama mara mbili hivi kwa week au hata mara tatu kwa mwezi si kwamba hayupo anakuwepo ila anakuwa na mambo mengine sanaa.

Sasa huyu mama kama nilivyosema awali ni mwanamama mweupe ila shupavu aise sijawahi ona ntaelezea matukio mawili aliyoyafanya humu hadi nikamvulia kofia , wala si mwongeaji sanaa sasa siku hiyo alikuwepo ofisini tukiwa tunaendelea na majukumu yetu kama kawaida ghafla tukasikia kelele kwa mbali kama kuna watu wamekimbizwa kelele nyingi sanaa kundi kubwa la watu wakawa wanakuja usawa wa ubalozi wetu, ubalozi ulikuwa imeangaliana na ubalozi wa malawi kama sio mozambique kuna Askali alikuwa analinda pale wa nchi yao ila kwetu walikuwa wanalinda walinzi wa kampuni za pale pale kigali ,watu wakawa wazidi kusogea sasa, ubalozi wetu ulikuwa na geti fupi la kama futi sita hivi, sisi tukawa tumejitokeza uwani kuangalia kulikoni ghafla tukaona watu wanaruka kuingia ubalozi wa jirani na akina dada wawili wanaruka kuingia ubalozi wetu na muonekano wao ulikuwa wakitusi mpaka hapo tukaelewa nini kinachoendelea na kwanini wanakimbizwa wauawe si vinginevyo sasa hapo ndo niliposhuhudia ujasiri ambao sijawahi uona kwa mwanamke yeyote toka nizaliwe

Wakati wale watu wanatishia kuingia ubalozini, Balozi akatokea ofisini kwake akawa anawaangalia tu bila kuongea chochote huku kushikilia redio call na ndo mara ya kwanza kumuona balozi ameshikilia redio call ikawa wanaangaliana balozi anawaangalia na wao wanamuangalia sisi wanaume kwa mabinti tumeshakimbia tupo gereje ndogo tunachungulia madirishani ila
Tunachungulia nakusikia kinachoendelea nje, sasa wao wanaimba na kupiga kelele za kutaka balozi awatoe hao mabinti balozi yeye akawa anaongea na redio call ,hebu vuta picha kibaka kakimbilia kwako halafu wananchi wanazunguka nyumba yako wanakwambia wanakupa dakika 4 uwe umewatoa la sivyo wanarushs magrouneti humo sasa hali ilikuwa kama ilivyo kuwa siku hiyo vurugu na makelele yakawa yanaendelea ubalozi mzima tumezungukwa ghafla akaruka njemba moja imejazia kweli kweli na panga lake, ikawa inamfuata balozi wala mama hukukimbia kurudi ndani alisimama hapo hapo, nilichosikia aliapokuwa anaongea kwenye redio call upande wa pili kwamba sasa mmeamua kuichokozaa tanzania kwa makusudi na umewatuma watu wako waje kuwaua watanzania ila tusilaumiane ila alikuwa anaongea kwa kinyarwanda balozi alikuwa anabonga kinyarwanda kama chake vile, ile njemba ikawa inazidi kumfuata ikafanya kama inatanyanyua panga kumkata shingoni, ndo akawa badala ya kujali kinachoendelea pale ndo akawa anazidi kulumbana na alikuwa anaongea nae na alikuwa kwenye redio call, njemba ikashusha panga taratibu ikawa inaisugua panga lake kwenye matiti yake yule mama (balozi) akalivuta lile panga akalitupa nje ya fensi aisee ile njemba ili kasirika ikawa inatukana kwa kinyarwanda vibaya ila kumpiga haimpigi ghafla ilipigwa filimbi yule njemba akarudi nyuma akapanda geti ikarukia njee na wenzake wakawa wanaimba tutarudi tanzania tunaficha ing'otanyi yani Watusi. Mara balozi dakika hiyo hiyo akawasha gari akafunguliwa geri akaondoka alikoelekea hatujui sasa ikawa kimbembe kwa tuliobaki mle na wale akina dada.uongo mbaya wale akina dada walikuwa visu hatariii ila Mbele ya kifo sikukumbuka hilo .

Jioni ikafika kila mtu akaondoka tukawa tumewaacha wale akina dada na mlinzi mle ubalozini mimi nikawahi geto kwangu mapema sikutaka siku hiyo kuzunguka mitaani nikalala bila hata kula, hamu unaotoa wapi ya kula wakati mchana umeponea chupuchupu .asubuhi tuliporudi tulikuta balozi amewachukua na ameondoka nao alipowapeleka hatujui mpaka leo huwa najiuliza aliwapeleke wapi mji ule uliojaa damu za watu.

Naomba swala matokio niishie hapa kwani matokeo madogomadogo mengi yalikuwa mengi sanaa sasa tutaendelea na hatua ya mwanzoni mwa mwaka 1993 ....sasa tunaingia katika hali ya hatari kuwahi kushuhudia katika maisha yangu yote.

Itaendeleaaaaaa.......... Usiku.



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaendelea.......

Sasa hapa ntaelezea tukio ambalo lilitokea hapa hapa ubalozini tukiwa kazini hatuna hili wala lile tena siku yenyewe j3, ni hivi kwanza naombanizungumzie jambo la kikazi kidogo unajua balozi ni mtu mwenye mambo mengi sanaa ya siri na ya wazi ndo maana nchii nyingi zilizoendelea hupenda kuwapeleka mabalozi ambao ni watu ambao ni mawaziri na wanadiplomasia kweli kweli wengine huwa ni watu wazito jeshini, au wameshawahi kukaa kwenye vitengo vya usalama wa nchii ,sasa ipo hivi unaweza ukawa unafanya kazi ubalozini ukawa unamuona balozi kama mara mbili hivi kwa week au hata mara tatu kwa mwezi si kwamba hayupo anakuwepo ila anakuwa na mambo mengine sanaa.

Sasa huyu mama kama nilivyosema awali ni mwanamama mweupe ila shupavu aise sijawahi ona ntaelezea matukio mawili aliyoyafanya humu hadi nikamvulia kofia , wala si mwongeaji sanaa sasa siku hiyo alikuwepo ofisini tukiwa tunaendelea na majukumu yetu kama kawaida ghafla tukasikia kelele kwa mbali kama kuna watu wamekimbizwa kelele nyingi sanaa kundi kubwa la watu wakawa wanakuja usawa wa ubalozi wetu, ubalozi ulikuwa imeangaliana na ubalozi wa malawi kama sio mozambique kuna Askali alikuwa analinda pale wa nchi yao ila kwetu walikuwa wanalinda walinzi wa kampuni za pale pale kigali ,watu wakawa wazidi kusogea sasa, ubalozi wetu ulikuwa na geti fupi la kama futi sita hivi, sisi tukawa tumejitokeza uwani kuangalia kulikoni ghafla tukaona watu wanaruka kuingia ubalozi wa jirani na akina dada wawili wanaruka kuingia ubalozi wetu na muonekano wao ulikuwa wakitusi mpaka hapo tukaelewa nini kinachoendelea na kwanini wanakimbizwa wauawe si vinginevyo sasa hapo ndo niliposhuhudia ujasiri ambao sijawahi uona kwa mwanamke yeyote toka nizaliwe

Wakati wale watu wanatishia kuingia ubalozini, Balozi akatokea ofisini kwake akawa anawaangalia tu bila kuongea chochote huku kushikilia redio call na ndo mara ya kwanza kumuona balozi ameshikilia redio call ikawa wanaangaliana balozi anawaangalia na wao wanamuangalia sisi wanaume kwa mabinti tumeshakimbia tupo gereje ndogo tunachungulia madirishani ila
Tunachungulia nakusikia kinachoendelea nje, sasa wao wanaimba na kupiga kelele za kutaka balozi awatoe hao mabinti balozi yeye akawa anaongea na redio call ,hebu vuta picha kibaka kakimbilia kwako halafu wananchi wanazunguka nyumba yako wanakwambia wanakupa dakika 4 uwe umewatoa la sivyo wanarushs magrouneti humo sasa hali ilikuwa kama ilivyo kuwa siku hiyo vurugu na makelele yakawa yanaendelea ubalozi mzima tumezungukwa ghafla akaruka njemba moja imejazia kweli kweli na panga lake, ikawa inamfuata balozi wala mama hukukimbia kurudi ndani alisimama hapo hapo, nilichosikia aliapokuwa anaongea kwenye redio call upande wa pili kwamba sasa mmeamua kuichokozaa tanzania kwa makusudi na umewatuma watu wako waje kuwaua watanzania ila tusilaumiane ila alikuwa anaongea kwa kinyarwanda balozi alikuwa anabonga kinyarwanda kama chake vile, ile njemba ikawa inazidi kumfuata ikafanya kama inatanyanyua panga kumkata shingoni, ndo akawa badala ya kujali kinachoendelea pale ndo akawa anazidi kulumbana na alikuwa anaongea nae na alikuwa kwenye redio call, njemba ikashusha panga taratibu ikawa inaisugua panga lake kwenye matiti yake yule mama (balozi) akalivuta lile panga akalitupa nje ya fensi aisee ile njemba ili kasirika ikawa inatukana kwa kinyarwanda vibaya ila kumpiga haimpigi ghafla ilipigwa filimbi yule njemba akarudi nyuma akapanda geti ikarukia njee na wenzake wakawa wanaimba tutarudi tanzania tunaficha ing'otanyi yani Watusi. Mara balozi dakika hiyo hiyo akawasha gari akafunguliwa geri akaondoka alikoelekea hatujui sasa ikawa kimbembe kwa tuliobaki mle na wale akina dada.uongo mbaya wale akina dada walikuwa visu hatariii ila Mbele ya kifo sikukumbuka hilo .

Jioni ikafika kila mtu akaondoka tukawa tumewaacha wale akina dada na mlinzi mle ubalozini mimi nikawahi geto kwangu mapema sikutaka siku hiyo kuzunguka mitaani nikalala bila hata kula, hamu unaotoa wapi ya kula wakati mchana umeponea chupuchupu .asubuhi tuliporudi tulikuta balozi amewachukua na ameondoka nao alipowapeleka hatujui mpaka leo huwa najiuliza aliwapeleke wapi mji ule uliojaa damu za watu.

Naomba swala matokio niishie hapa kwani matokeo madogomadogo mengi yalikuwa mengi sanaa sasa tutaendelea na hatua ya mwanzoni mwa mwaka 1993 ....sasa tunaingia katika hali ya hatari kuwahi kushuhudia katika maisha yangu yote.

Itaendeleaaaaaa.......... Usiku.



Sent using Jamii Forums mobile app
Demu wako ndo aliekuwa balozi au unazungumzia balozi gani mwanamke???

Kizibo
 
Alfu eti kapanda bus to kahama,mfanyakazi wa embassy unapewa elfu 60tsh then na kupanda bus?eti nikapiga Sim! Urikua unatembea na Sim ya fix?
We umezaliwa mwaka gani? Unajua dola moja ilikuwa sawa na bei gani mwaka 1989.? .hii elimu bure imeleta shida sanaa kwa vijana halafu wapi niliandika nilipigasimu? Hizi akili bwanaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wakubwa kwa wadogo.

Kwanza napenda kutoa pole na shughuli za kutwa kwa wale wahangaikaji wote kama mimi ambao kila siku lazima tutoke ili tuweze kujipatia riziki halali kila siku iendayo kwa mungu. Tuseme wote asante mungu.

Nisiwachoshe niende moja kwa moja kwenye mada,mdaa huu wakati naandika huu ushuhuda wangu binafsi ambayo nimeishuhudia kwa macho yangu mawili nchini rwanda wakati wa vita ya kikabila ,wenyewe hupenda kuiita mauji ya halaiki.

Stori inaanza wakati ndo nimemaliza masomo yangu ya uhasibu ngazi ya stashahada mwaka 1989 (sintotaja chuo hicho) nikajaribu kuomba kazi wizara ya mambo ya njee mungu si Athumani nikapata kazi ubalozi lakini nikapaangiwa kituo changu cha kazi kigali-Rwanda, kama sijasahau ubalozi Tanzania ulikuwa maeneo yanaitwa KICHUKIRO ,kwa sasa sijui kama bado upo palepale au vipi sina uhakika.

basi mwezi wa sita baada ya kukamilisha taratibu zote nikaanza safari ya kwenda Rwanda kituo changu cha kazi kipya,ajira mpya na mara ya kwanza kusafiri nje ya Tanzania... Safari ikaanza kwenda kuanza maisha mapya nchi ya watu ,mbali na ndugu jamaa na marafiki nikiwa sijui chochote kuhusu nchi hiyo..

Angalizo. naomba tuvulimiliane ni long stori kidogo na yanaweza jitokeza makosa ya kiundishi na kifasihi.... Ntaelezea mambo mengi sana ya kutisha ambayo niliyashuhudia kwa macho yangu mwenyewe ambayo hadi leo nimejitahidi kuyasahau lakini imeshindika kabisa.

Safari inaanza pale Mnazi moja nakumbuka enzi zile kulikuwa hakuna mambo ya Booking. unawahi alfajiri na mapema unatafuta basi lako unapanda tu unasubiri safari ianze.

Basi nikiwa na mabegi yangu na shilingi za kitanzania 60 elfu(nilipewa kwa ajili safari na kujikimu na passport ) tu ,naianza safari ya kwenda Kahama, safari ikaanza midaa ya kama saa moja kamili asubuhi (jina la basi lile nimelisahau ila nakumbuka lilikuwa rayland) kipindi hicho barabara ni vumbi tupu changarawe la vumbi hadi linaingia kupitia madirishani, baada ya safari ya uchovu mwingi hatimae saa nane usiku tunaingia singida stand. Mimi mgeni sijui niende uelekeo gani ikumbukwe miaka ile nyumba za wageni zilikuwa za kuhesabu basi ikabidi tushuke pale stand tukawa tunakula mikate na chai na wengine chai na kahawa.

Basi mimi nikarudi kulala kwenye gari,alfajiri na mapema gari likaanza safari tena nakumbuka tulifika stand kuu Kahama kana saa tatu usiku hivi. yani tulitumia kama siku mbili hivi Dar-kahama .leo hii dar - Kahama unatumia siku moja umefika halafu utasikia mtu anasema nchini hii bwana hakuna maendeleo kabisa daa!!!

Tumefika Kahama stand tumepokelewa na wapiga debe enzi hizo wao ndo walikuwa kama mawakala wa magari makubwa anakubebea mzigo hadi kwenye gari unalipa nauli yeye anachukua chake mnaachana hapo hapo hapo ni usiku inabidi kupata gari ya kwenda boda ya Rwanda na Tanzania Rusumo hapo unavuka Mpaka, kuna mto mkubwa unaitwa mto Rusumo unapita kwenye daraja la chuma kama lile lile liloejengwa na wanajeshi pale njia panda Kawe unavuka ng'ambo ukagonga passport ,cha kuchekesha pale kulikuwa hakuna magari ya abiria makubwa.

Magari ya abiria kutoka boda hadi kigali mjini yalikuwa hakuna, ilikuwa inakubidi upande roli la mizigo au abiria mjichange kwa makundi mkodi magari madogo kama tax ila mnabananishwa humo hatari na mizigo juu, kutoka boda hadi kigali ilikuwa kama mwendo wa masaa nane hivi kuingia kigali mjini.
Hatimae baada ya kubadilisha fedha zetu kuwa mafaranga tukapata usafiri wa kutufikisha kigali nakumbuka kundi langu kwenye gari tulilokodi nilipanda na wazaire watupu hivyo kelele zilikuwa nyingi hadi tunaingia kigali wanaimba nakuongea sanaa ubishi mwingi mara mpira mara siasa ili mradi makelele tu.

Saa tisa mchana nikawa tumewasili kigali town enzi hizo sijui lolote kuhusu mji huo zaidi ya address na namba za simu ikabidi niangaze angalau kupata simu lakini wapi,aise kinyarwanda sijui na wao kiswahili kigumu kila nae mujliza ila kupata mawasiliano sikupata msaada ikabidi nikasogolea kwenye stand ya mabus madogo nikamuulize konda kuwa nataka kwenda ubalozi wa Tanzania akaishia kucheka tu niligundua hakunielewa lugha .

Nakumbuka nilikaa stand pale hadi saa kumi na mbili bila bila ikabidi niulizie sehemu pakulala hapo nikaeleweka nikaambiwa lazima upande bus nipelekwe sehemu inaitwa NYAMIRAMBO na nikaambiwa pia kuwa kuna waswahili wengi nikapanda bus hadi nyamirambo nikashushwa tu stand konda akanionyesha kuna hoteli moja ilikuwa imeandikwa nakumbuka inaitwa kama sijasahau ilikuwa inaitwa IMHALA ila nyamirambo ilichanganya kigodo naweza fananisha Magomeni enzi zile.


Nikaenda nikalipia chumba nikaomba kuelekezwa eneo la kula nikaelekezwa, nikaenda nikala halafu nikarudi kujilaza nikipanga namna ya kuingia kesho u abalozi wa Tanzania kuanza majukumu mapya .

Itaendelea...........





Sent using Jamii Forums mobile app
Inaendelea........

Haya sasa maisha ya matukio madogo madogo ya uhalifu kama wizi, kutekana na kupotesana yakawa yanaendelea kiaina watu wanauawa maisha yanaendelea ,kwa mara ya kwanza nikajuta kuwepo nchini rwanda kikazi nikawa nimekinai matukio hayo
Nikaanza kuwaza je? Siku itokee nchi yetu Tanzania uwaudhi hawa jamaa si tutachinjwa kama kuku, ikabidi nipunguze matembezi ya usiku, rafiki yangu mkubwa akawa demu wangu.
Sasa hali ikawa inaendelea ila nikumbushie kitu demu wangu mamake alikuwa mtusi ila yeye alikuwa kama mchanganyiko hivi ila babake sikuwahi kumjua wala kumuona ila stori za mtaani ni kwamba alikuwa jera amefungwa kifungo cha mda mrefu sababu sijui wala sikuwahi kumuuliza hilo swala mpenzi wangu huyo. Sasa kuna kitu kikawa kinanishangaza nikiwa nae ananipigisha stori za kuhamia Tanzania ,yani anataka tuhame tanzania na mimi tuishi wote tena akawa yupo serious kabisa nikimuuliza unawaachaje ndugu zako anasema nisijali wao watabaki tu hakuna shida nahisi alishahisi kuna hatari inakuja mbeleniii.

Kama mnakumbuka nilisema , hapo mwanzoni nimesema ukiona vikundi vya ulinzi vya kisiasa vinaanza kubeba silaha hadharani jua sasa hali ya hatari inagonga hodi.
Sasa turukie kwenye dalili ya pili ambayo sasa ukiona hiyo jua nchii inaelekea shimoni dalili yenyewe ni pale unapoona unaenda dukani muuzaji anakwambia labda unaulizia unga yeye anakwambia hataki hela kama una sukari mpe sukari yeye akupe unga yani kwa wale wazee wa histori kule west Afrika walikuwa wanaita barter trade karne ya 16 unanipa kitu nakupa kitu ,hela haina Thamani tena kwa binadamu watu wanaangalia kitu sio pesa ukionahivyo juasasa nchi inaingia shimoni muda si mrefu yani imebaki miezi michache tu kama sio siku nchii isambaratike vipande ,sasa ikawa hivyo wahindi, Wasomali wenye hoteli mjini wakaanza kusepa moja moja unakaa unashangaa duka halifunguliwi kumbe wenyewe waeshaondoka maisha yakaanza kuwa magumu mjini. Bidhaa hazipatikani sasa njaa ikaanza. ikabidi balozi awasiliane na makao makuu Dar kuomba ushauri nini afanye uturudishe nyumbani au ubalozi ufungwe au makao makuji Dar wakagoma jibu likaja tusubiri kwanza.

Kuna upumbavu ulikuwa unaendelea nchini rwanda ,ndo maana nikasema hapo juu usimwamini mnyarwanda .unajua ni upumbavu gani yani sijui ni teknolojia ya chini kipindi hicho ,wakati mambo yanaenda kombo kuna wajinga wa chama tawala ikiwemo watangazaji viongozi wa dini na wazee wenye ushawishi walikuwa wanaitangazia dunia kupitia redio rwanda ipo salama hakuna chochote kibaya kinachoendelea kwani amani imetawala kabisa aise ukawa unapigwa wimbo flani wa chama kwenye redio rwanda kuhamasisha Wahutu wajilinde na chama chao popote walipo na wahakikishe maeneo yapo salama hakuna mchanganyiko wa damu yani wawe wao tu bila Watusi tafsiri yake wamalize Watusi wote, ila katika hili wanajeshi wengi hawakushiriki katika kuua kikatili Watusi walihamishiwa nje mji na mipakani kulinda na kupigana na RPF kazi ya kumaliza Watusi ilikuwa kazi ya interahamwe maisha yakawa magumu watu wakaanza kuikimbia kigali kwa siri yani unaamka asubuhi unakuta mlango wa jirani yako uko wazi amechukua vijavyobebeka kasepa japo sasa nami nikaanza kufikiri kurudi kuishi ibalozini swala narudi je sasa? Daahh demu wangu nimwachie nani nguvu ya penzi ikawa kubwa ,mtaani kwetu tukabaki watu wakuhesabika maisha yanazidi kuwa magumu.

Sasa njiani tukaanza kuwa tunapishana na wanajeshi wa ubelgiji wako kwenye mstari na bunduki za kivita nzito nzito kuuliza eti wamekuja kulinda ndugu zao na mali zao mambo yakawa magumu tukawa tunaelekea mwezi wa kumi na moja, sasa ikawa redioni ni propaganda tupu za vita ,Paulo kagame amechachama huko na jeshi lake mapambano yamepamba moto jeshi la rwanda li kawa kama limezidiwa ila propaganda za redio rwanda ni vita inaendelea jeshi limewapiga RPF limewarudisha msituni hali ikawa inaendelea hivyo uvamizi mipakani Ukawa ni report ya kila siku redioni plus propaganda za kupeana moyo nchi inazidi kuzama taratibu, hela haina Thamani tena, chakula hamna watu hawaelewi wafanyei nini nchi ikawa gizani..

Naomba leo niishie hapa......... Itaendelea kesho kutaja dalili ya mwisho nchii kuu ingia gizani rasmi na wingu la roho ya mauti linatanda angani hapo kinachobaki mtu anapambania nafsi yake

Usiku mwema itaendelea kesho.............

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja hatua kwa hatua pua kwa pua jicho kwa jicho na jino kwa jino mpaka mwisho
Inaendelea........

Haya sasa maisha ya matukio madogo madogo ya uhalifu kama wizi, kutekana na kupotesana yakawa yanaendelea kiaina watu wanauawa maisha yanaendelea ,kwa mara ya kwanza nikajuta kuwepo nchini rwanda kikazi nikawa nimekinai matukio hayo
Nikaanza kuwaza je? Siku itokee nchi yetu Tanzania uwaudhi hawa jamaa si tutachinjwa kama kuku, ikabidi nipunguze matembezi ya usiku, rafiki yangu mkubwa akawa demu wangu.
Sasa hali ikawa inaendelea ila nikumbushie kitu demu wangu mamake alikuwa mtusi ila yeye alikuwa kama mchanganyiko hivi ila babake sikuwahi kumjua wala kumuona ila stori za mtaani ni kwamba alikuwa jera amefungwa kifungo cha mda mrefu sababu sijui wala sikuwahi kumuuliza hilo swala mpenzi wangu huyo. Sasa kuna kitu kikawa kinanishangaza nikiwa nae ananipigisha stori za kuhamia Tanzania ,yani anataka tuhame tanzania na mimi tuishi wote tena akawa yupo serious kabisa nikimuuliza unawaachaje ndugu zako anasema nisijali wao watabaki tu hakuna shida nahisi alishahisi kuna hatari inakuja mbeleniii.

Kama mnakumbuka nilisema , hapo mwanzoni nimesema ukiona vikundi vya ulinzi vya kisiasa vinaanza kubeba silaha hadharani jua sasa hali ya hatari inagonga hodi.
Sasa turukie kwenye dalili ya pili ambayo sasa ukiona hiyo jua nchii inaelekea shimoni dalili yenyewe ni pale unapoona unaenda dukani muuzaji anakwambia labda unaulizia unga yeye anakwambia hataki hela kama una sukari mpe sukari yeye akupe unga yani kwa wale wazee wa histori kule west Afrika walikuwa wanaita barter trade karne ya 16 unanipa kitu nakupa kitu ,hela haina Thamani tena kwa binadamu watu wanaangalia kitu sio pesa ukionahivyo juasasa nchi inaingia shimoni muda si mrefu yani imebaki miezi michache tu kama sio siku nchii isambaratike vipande ,sasa ikawa hivyo wahindi, Wasomali wenye hoteli mjini wakaanza kusepa moja moja unakaa unashangaa duka halifunguliwi kumbe wenyewe waeshaondoka maisha yakaanza kuwa magumu mjini. Bidhaa hazipatikani sasa njaa ikaanza. ikabidi balozi awasiliane na makao makuu Dar kuomba ushauri nini afanye uturudishe nyumbani au ubalozi ufungwe au makao makuji Dar wakagoma jibu likaja tusubiri kwanza.

Kuna upumbavu ulikuwa unaendelea nchini rwanda ,ndo maana nikasema hapo juu usimwamini mnyarwanda .unajua ni upumbavu gani yani sijui ni teknolojia ya chini kipindi hicho ,wakati mambo yanaenda kombo kuna wajinga wa chama tawala ikiwemo watangazaji viongozi wa dini na wazee wenye ushawishi walikuwa wanaitangazia dunia kupitia redio rwanda ipo salama hakuna chochote kibaya kinachoendelea kwani amani imetawala kabisa aise ukawa unapigwa wimbo flani wa chama kwenye redio rwanda kuhamasisha Wahutu wajilinde na chama chao popote walipo na wahakikishe maeneo yapo salama hakuna mchanganyiko wa damu yani wawe wao tu bila Watusi tafsiri yake wamalize Watusi wote, ila katika hili wanajeshi wengi hawakushiriki katika kuua kikatili Watusi walihamishiwa nje mji na mipakani kulinda na kupigana na RPF kazi ya kumaliza Watusi ilikuwa kazi ya interahamwe maisha yakawa magumu watu wakaanza kuikimbia kigali kwa siri yani unaamka asubuhi unakuta mlango wa jirani yako uko wazi amechukua vijavyobebeka kasepa japo sasa nami nikaanza kufikiri kurudi kuishi ibalozini swala narudi je sasa? Daahh demu wangu nimwachie nani nguvu ya penzi ikawa kubwa ,mtaani kwetu tukabaki watu wakuhesabika maisha yanazidi kuwa magumu.

Sasa njiani tukaanza kuwa tunapishana na wanajeshi wa ubelgiji wako kwenye mstari na bunduki za kivita nzito nzito kuuliza eti wamekuja kulinda ndugu zao na mali zao mambo yakawa magumu tukawa tunaelekea mwezi wa kumi na moja, sasa ikawa redioni ni propaganda tupu za vita ,Paulo kagame amechachama huko na jeshi lake mapambano yamepamba moto jeshi la rwanda li kawa kama limezidiwa ila propaganda za redio rwanda ni vita inaendelea jeshi limewapiga RPF limewarudisha msituni hali ikawa inaendelea hivyo uvamizi mipakani Ukawa ni report ya kila siku redioni plus propaganda za kupeana moyo nchi inazidi kuzama taratibu, hela haina Thamani tena, chakula hamna watu hawaelewi wafanyei nini nchi ikawa gizani..

Naomba leo niishie hapa......... Itaendelea kesho kutaja dalili ya mwisho nchii kuu ingia gizani rasmi na wingu la roho ya mauti linatanda angani hapo kinachobaki mtu anapambania nafsi yake

Usiku mwema itaendelea kesho.............

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bro ulitaka kuikatili kweli nasfi yangu uliposema hutaendelea na kisa hiki, ila staili yako ya uandishi kwa kweli inanilaza mlango wazi!! ,kila saa naangalia kama umepost muendelezo ,
Yote kwa yote big up!
Inaendelea........

Haya sasa maisha ya matukio madogo madogo ya uhalifu kama wizi, kutekana na kupotesana yakawa yanaendelea kiaina watu wanauawa maisha yanaendelea ,kwa mara ya kwanza nikajuta kuwepo nchini rwanda kikazi nikawa nimekinai matukio hayo
Nikaanza kuwaza je? Siku itokee nchi yetu Tanzania uwaudhi hawa jamaa si tutachinjwa kama kuku, ikabidi nipunguze matembezi ya usiku, rafiki yangu mkubwa akawa demu wangu.
Sasa hali ikawa inaendelea ila nikumbushie kitu demu wangu mamake alikuwa mtusi ila yeye alikuwa kama mchanganyiko hivi ila babake sikuwahi kumjua wala kumuona ila stori za mtaani ni kwamba alikuwa jera amefungwa kifungo cha mda mrefu sababu sijui wala sikuwahi kumuuliza hilo swala mpenzi wangu huyo. Sasa kuna kitu kikawa kinanishangaza nikiwa nae ananipigisha stori za kuhamia Tanzania ,yani anataka tuhame tanzania na mimi tuishi wote tena akawa yupo serious kabisa nikimuuliza unawaachaje ndugu zako anasema nisijali wao watabaki tu hakuna shida nahisi alishahisi kuna hatari inakuja mbeleniii.

Kama mnakumbuka nilisema , hapo mwanzoni nimesema ukiona vikundi vya ulinzi vya kisiasa vinaanza kubeba silaha hadharani jua sasa hali ya hatari inagonga hodi.
Sasa turukie kwenye dalili ya pili ambayo sasa ukiona hiyo jua nchii inaelekea shimoni dalili yenyewe ni pale unapoona unaenda dukani muuzaji anakwambia labda unaulizia unga yeye anakwambia hataki hela kama una sukari mpe sukari yeye akupe unga yani kwa wale wazee wa histori kule west Afrika walikuwa wanaita barter trade karne ya 16 unanipa kitu nakupa kitu ,hela haina Thamani tena kwa binadamu watu wanaangalia kitu sio pesa ukionahivyo juasasa nchi inaingia shimoni muda si mrefu yani imebaki miezi michache tu kama sio siku nchii isambaratike vipande ,sasa ikawa hivyo wahindi, Wasomali wenye hoteli mjini wakaanza kusepa moja moja unakaa unashangaa duka halifunguliwi kumbe wenyewe waeshaondoka maisha yakaanza kuwa magumu mjini. Bidhaa hazipatikani sasa njaa ikaanza. ikabidi balozi awasiliane na makao makuu Dar kuomba ushauri nini afanye uturudishe nyumbani au ubalozi ufungwe au makao makuji Dar wakagoma jibu likaja tusubiri kwanza.

Kuna upumbavu ulikuwa unaendelea nchini rwanda ,ndo maana nikasema hapo juu usimwamini mnyarwanda .unajua ni upumbavu gani yani sijui ni teknolojia ya chini kipindi hicho ,wakati mambo yanaenda kombo kuna wajinga wa chama tawala ikiwemo watangazaji viongozi wa dini na wazee wenye ushawishi walikuwa wanaitangazia dunia kupitia redio rwanda ipo salama hakuna chochote kibaya kinachoendelea kwani amani imetawala kabisa aise ukawa unapigwa wimbo flani wa chama kwenye redio rwanda kuhamasisha Wahutu wajilinde na chama chao popote walipo na wahakikishe maeneo yapo salama hakuna mchanganyiko wa damu yani wawe wao tu bila Watusi tafsiri yake wamalize Watusi wote, ila katika hili wanajeshi wengi hawakushiriki katika kuua kikatili Watusi walihamishiwa nje mji na mipakani kulinda na kupigana na RPF kazi ya kumaliza Watusi ilikuwa kazi ya interahamwe maisha yakawa magumu watu wakaanza kuikimbia kigali kwa siri yani unaamka asubuhi unakuta mlango wa jirani yako uko wazi amechukua vijavyobebeka kasepa japo sasa nami nikaanza kufikiri kurudi kuishi ibalozini swala narudi je sasa? Daahh demu wangu nimwachie nani nguvu ya penzi ikawa kubwa ,mtaani kwetu tukabaki watu wakuhesabika maisha yanazidi kuwa magumu.

Sasa njiani tukaanza kuwa tunapishana na wanajeshi wa ubelgiji wako kwenye mstari na bunduki za kivita nzito nzito kuuliza eti wamekuja kulinda ndugu zao na mali zao mambo yakawa magumu tukawa tunaelekea mwezi wa kumi na moja, sasa ikawa redioni ni propaganda tupu za vita ,Paulo kagame amechachama huko na jeshi lake mapambano yamepamba moto jeshi la rwanda li kawa kama limezidiwa ila propaganda za redio rwanda ni vita inaendelea jeshi limewapiga RPF limewarudisha msituni hali ikawa inaendelea hivyo uvamizi mipakani Ukawa ni report ya kila siku redioni plus propaganda za kupeana moyo nchi inazidi kuzama taratibu, hela haina Thamani tena, chakula hamna watu hawaelewi wafanyei nini nchi ikawa gizani..

Naomba leo niishie hapa......... Itaendelea kesho kutaja dalili ya mwisho nchii kuu ingia gizani rasmi na wingu la roho ya mauti linatanda angani hapo kinachobaki mtu anapambania nafsi yake

Usiku mwema itaendelea kesho.............

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom