SINGLE (S) special's thread

SINGLE (S) special's thread

Hajawahi guswa.....nyumban tunasema kitu mang'anyuu
salaale.. basi fany fany mambo ndugu yangu nibate bahati ya maisha.. wengine hatujawahi kukutana nazo toka tuzaliwe ,, huwa tunazisikia tu kwenye magazeti.
 
Kwani huna matumizi nami tena?
Nitakosaje na wakati tumeshakubaliana...?
Mimi sio mhuni wa kula tunda halafu nikimbie. Umeshanambia nisikuumize moyo kama wengine. Nimekuskia
 
Nitakosaje na wakati tumeshakubaliana...?
Mimi sio mhuni wa kula tunda halafu nikimbie. Umeshanambia nisikuumize moyo kama wengine. Nimekuskia
Moyo wangu jiwe hauumiagi, mie nataka nikuonje tu sio uweke makazi bwana, na joto hili tubanane tena!!
 
Moyo wangu jiwe hauumiagi, mie nataka nikuonje tu sio uweke makazi bwana, na joto hili tubanane tena!!
Naamini hautaishia kunionja tu...
Farao alikuwa na moyo mgumu kuliko binadamu yeyote wewe nawe unamoyo mgumu kuliko wanawake wote. Nitakulainisha bila kutumia vilaishi kwa penzi mubashara
 
Naamini hautaishia kunionja tu...
Farao alikuwa na moyo mgumu kuliko binadamu yeyote wewe nawe unamoyo mgumu kuliko wanawake wote. Nitakulainisha bila kutumia vilaishi kwa penzi mubashara
Toto jizi hili!!
 
Back
Top Bottom