Zimefika ngapi mpaka sasa?Siku zako za kuacha kuniita toto zinahesabika.
We !! mie bado sijapata!!Pole huku naona kila mtu kashapata. Asiye na mwana aeleke jiwe
Kwahiyo ndio unalipiza?Suprise
Hahaaaa!! Umenikumbusha mtu aliomba pesa akaambiwa atume ac number alafu pesa haikutumwa, akamwambia jamaa amrudishie ac no yake!!Utakipata unacho kitafuta tu.....nirudishie mtongozo wangu wote niupeleke kwa mwingine
Nimependa hapo kwenye iPhone 6+ha ha ... mkuu usiache bwana.. hujui dada zetu ndio wanapenda mambo hayo.. ungekuwa unatumia iphone 6+ inakuonyesha watu waliosoma post zako.. yani comment yako moja inasomwa na wadada wa JF zaidi ya 60+, ukiacha utasababisha waache kuja JF

Haha huyo ni boyaHahaaaa!! Umenikumbusha mtu aliomba pesa akaambiwa atume ac number alafu pesa haikutumwa, akamwambia jamaa amrudishie ac no yake!!
Huo mtongozo wako siurudishi bado naufikiria, kwahiyo bado napokea mitongozo mingine.
Hebu subiri kwanza kidogo.Haha huyo ni boya
Hao wengine wanakamilisha takwimu
..waambie mzigo ninaye mie yakhee
WaiteWapo wengi saana labda nikusaidie kuwaita
kwan ww n singleWaite
Nahisi utaanza na husna
Kwa muda.....tuu ,kwan ww n single