SINGLE (S) special's thread

SINGLE (S) special's thread

ndio hiyo roho inapenda babaakeee sasa mimi nifanyeje?

inafanana na masiwa kabisa ati
Umenikumbusha mon'goo akienda mghawani anasema ero ebu lete ile yenye doadoa kama chui! !
 
Umenikumbusha mon'goo akienda mghawani anasema ero ebu lete ile yenye doadoa kama chui! !
mimi huwa nasema leta ile inafanana na masiwa, weka kombe 2 kwa moja
 
mimi huwa nasema leta ile inafanana na masiwa, weka kombe 2 kwa moja
Sema dada zetu nawajua nyie ni nooma. Kuna rafiki zangu wanaenda simainofu 13 bila kupepesa....
 
Back
Top Bottom