SINGLE (S) special's thread

SINGLE (S) special's thread

uzi huu ni mahususi maana thread za wapendao kwa kipindi hiki cha valentine zimezidi sana. Sijui wanaturingishia! ENWEI: itakuwa labda mapenzi yamewanogea (kwa ambao hamyajui yalivyo, yananogaga asikwambie mtu).

Sio kazi rahisi kuwa single. Zinahitajika efforts za ziada kujipa moyo na matumain ili uweze kusonga mbele na maisha. Kuna ambao mpo single kisa mmeachika soon, wengine niuamuzi wenu, wengine mlitendwa kiasi kwamba mnaogopa kujiingiza kwenye mapenzi tena na mambo kama hayo . Poleni sana. Binafsi nipo single ila sitafuti.

Kesho ndiyo siku yenyewe bhaana. Wenye watu wao watapeana zawadi na kuonjesha ladha zao . Masingle wote najua hamtaenda mahali so poleni. Koh kaeni hapa mfarijiane. Pia mnaweza mkabahatishana na kuopoana humu mapumzikoni mwetu mkayajenga na kesho historia ikaandikwa upya.

Ujumbe

View attachment 470174
hakunaga single huku tunajipa moyo tu.
single halafu mtu anatoa na kugawa ugegedo/dwa.
Sio fair kuitana singles halafu la juu linafanyika.
tuitane wale wa no string attached tu period.
 
hakunaga single huku tunajipa moyo tu.
single halafu mtu anatoa na kugawa ugegedo/dwa.
Sio fair kuitana singles halafu la juu linafanyika.
tuitane wale wa no string attached tu period.
Bora hata mimi bikra niongee.
 
Kwa nini sikuona mapema hapa ila sijachelewa eti Daby ... af njoo uniambie kwa nini upo singo na hutafuti
 
Back
Top Bottom