M Magnetics New Member Joined Aug 19, 2020 Posts 2 Reaction score 0 Aug 19, 2020 #1 Habari zenu wadau, kama kuna mtu anahama hivi karibuni maeneo ya Makumbusho, Ubungo, Kijitonyama na maeneo ya karibu naomba anicheki. Kama kodi imebaki miezi kadhaa tutamlipa.
Habari zenu wadau, kama kuna mtu anahama hivi karibuni maeneo ya Makumbusho, Ubungo, Kijitonyama na maeneo ya karibu naomba anicheki. Kama kodi imebaki miezi kadhaa tutamlipa.
N nguvu JF-Expert Member Joined Jun 13, 2013 Posts 24,051 Reaction score 23,665 Aug 20, 2020 #2 Unataka chumba cha kodi kiasi gani kwa mwezi? Uwezo wako ni kulipa miezi mingapi kwa mkupuo?
X_INTELLIGENCE JF-Expert Member Joined Mar 25, 2014 Posts 10,700 Reaction score 14,766 Aug 20, 2020 #3 WEWE ni dalali ama...kuna chumba...Tabata self kimoja na kuna kingine chakawaida lakini hakina singboard...kazi kwako
WEWE ni dalali ama...kuna chumba...Tabata self kimoja na kuna kingine chakawaida lakini hakina singboard...kazi kwako