Nexltshahda
JF-Expert Member
- Jun 1, 2026
- 377
- 744
Hakuna anayeona mama yake ni single maza. Ukitaka kujua maana ya single maza oa single maza.Mim nimelelewa na single mother tangu nikiwa na umri wa miaka miwili, na nimemuona father kwenye picha tu.
Alifarik 2010 lakin hata kweny msiba wake sikuenda kwa sababu sijui kwao, hata mama hakwenda, nimekua nikiamini kwamba mama ndie kapambana mpaka nimefikia umri wa kujitegemea kwani hata father sikuwahi kumuona
Ila kuna siku nilipewa simu na mama eti ongea na baba ako miaka ya 2008.
Mim binafsi nawapenda masingo maza popote mlipo msiguswe!
Mtu mmoja mwenye busara sana aliwahi kuniambia kama aliyemzalisha hajafa basi Fahamu kwamba wazazi hawaachani kamwe, kwa pamoja walishaifanya kazi ya Mungu ya uumbaji. so me nasema wanaweza kupotezeana kwa muda lakini yeyote Kati yao akiamua kuliamsha kupasha kiporo, kinapashika.Hakuna anayeona mama yake ni single maza. Ukitaka kujua maana ya single maza oa single maza.
Na ndio chanzo kikubwa cha kumtanguliza stepfatherMtu mmoja mwenye busara sana aliwahi kuniambia kama aliyemzalisha hajafa basi Fahamu kwamba wazazi hawaachani kamwe, kwa pamoja walishaifanya kazi ya Mungu ya uumbaji. so me nasema wanaweza kupotezeana kwa muda lakini yeyote Kati yao akiamua kuliamsha kupasha kiporo, kinapashika.
Hakuna anayeona mama yake ni single maza. Ukitaka kujua maana ya single maza oa single maza.
Unaendelea Kutohoa LughaMkuu wewe umelelewa na mjane siyo single maza. Mjane na singo maza ni vitu viwili tofauti.
Wanaomba hela balaa kwa wazazi wenzie utadhani hawajaolewa.Haa Haa
Mkuu
Elezea Kidogo Tujifunze Pole Pole
Haa Unaweza Kukuta Mtoto Anasomeshwa Na Baba Yake Ila Yeye Anasema Nampambania Mwanangu Kama Hana BabaWanaomba hela balaa kwa wazazi wenzie utadhani hawajaolewa.