Single ladies inawahusu

mimi ningeomba kufahamu kuhusu wewe umri,profesional yako na elimu yako
 
Punguza vigezo basi nimeishia form two

Just for love

Umekosa sifa mamaa, kama for just love njoo huku unywe juice ya utomvu wa papai ya kuondoa nuksi ya kupata mtoto nauza glass ni sh mia mbili tu wakati unasubiri mwenye vigezo vyako....
 
mi niliambiwa kwamba, eti mnaoanziwa na majina ya herufi A huwa ni wataaam!.... na wazuuuurii!!

btw, this is for you!!

Mkuu hii kitu ndio unamhonga angelita au unamualika tu maana kama ukimwaga basi umepitiliza.... utawapata wengi sana...
 
Last edited by a moderator:
Hata kunyonya kutaisha tu, utataka mengine
 
mi niliambiwa kwamba, eti mnaoanziwa na majina ya herufi A huwa ni wataaam!.... na wazuuuurii!!

btw, this is for you!!


Wamekudanganya wengine ni wachungu mwarobaini una afadhari
 
Mkuu hii kitu ndio unamhonga angelita au unamualika tu maana kama ukimwaga basi umepitiliza.... utawapata wengi sana...

mkuu angelita ni rafiki tuu!! so akija kunitembelea hapo sio mbaya!!

mengine yakitokea, itakuwa ni makosa ya kibinadamu tu!!
 
Last edited by a moderator:
duh apo chacha mwaka ndo unaanza
 
Nakutakia kila la heri,ila ukimpata tushirikishane katika kuula huo ubwabwa. Mengine yahusuyo mchango nitakaa pembeni
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…