Singita Hotel-most expensive

Naskia inamilikiwa na Riz one.Uyo mzungu ni danganya TOTO!!!
 

Hii ni ya baba mwanasha a.k.a. JK
 
This information is 100% true...

Vizuri sana Ngongo... Arusha, my home, is BEST EVER PLACE I CAN LIVE.....

Arusha "The Richland" of Resources & Talented people....


 
Last edited by a moderator:
"All I Want For Christmas Is Singita Hotel"....How much is it per night?
 
hana chanzo lakini..............


Hilo Jarida la Travel & leisure ingia Google utapata habari hiyo.... Pia habari za uwanja wa ndege Serengeti jamaa ndio ana finance around $ 300 million ndio anatoa... Tudor tajiri kweli....
Find his Biography, google ....
 
hana chanzo lakini..............

No.... see what Ngongo wrote...

Hilo Jarida la Travel & leisure ingia Google utapata habari hiyo.... Pia habari za uwanja wa ndege Serengeti jamaa ndio ana finance around $ 300 million ndio anatoa... Tudor tajiri kweli....
Find his Biography, google ....

Wakuu Amavubi & MR.PRESIDENT ,Hawa jamaa wa Singita Grumeti Reserves nawafahamu vizuri sana naweza kusema zaidi ya nusu ya wafanyakazi nawafahamu kwa sura,majina na nyadhifa zao.Ninafanya biashara na Grumeti Reserves wakati mwingine nalazimika kwenda Serengeti kuonana na wakuu wa vitengo mbali mbali hivyo utabaini sihitaji msaada wa Google kukuelezea ninachokijua kuhusu Grumeti reserves.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…