Emmanuel Robinson
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 1,503
- 1,139
HAKUNA AJALI NZURI, kwahiyo huu msemo AJALI MBAYA UONDOENI.Haya maisha haya tuendelee kumuomba Mungu anatulinda sana hapa nimetoka kushuhudia ajali mbaya hapa singida Hiace na semi trailler. Hiace hautamani kuitazama mara mbili. Yaani polisi ndiyo wanawapanga bararani mimi nimeshuhudia miili sita dah huzuni maisha ya watu🙆🏿♂️😭😭😭. Mimi napita tu basi so msiniombe picha
Mungu awatangulie….Haya maisha haya tuendelee kumuomba Mungu anatulinda sana hapa nimetoka kushuhudia ajali mbaya hapa singida Hiace na semi trailler. Hiace hautamani kuitazama mara mbili. Yaani polisi ndiyo wanawapanga bararani mimi nimeshuhudia miili sita dah huzuni maisha ya watu🙆🏿♂️😭😭😭. Mimi napita tu basi so msiniombe picha
HAKUNA AJALI NZURI, kwahiyo huu msemo AJALI MBAYA UONDOENI.
Bora umefanya hivyo kutoweka picha,
Vigari vya abiria mikoani huwa vinatimka sana. Wapumzike kwa amani marehemu
DunianiVinatimkia wapi?