KANYAMA
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 1,482
- 2,272
Reverse siku hadi 2015 uviringishe mkono upya. May be itawezekanaRais anafanya kampeni ITIGI WHY? Nini kifanyike kuwe na usawa
Binafsi nimeshindwa kuelewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Reverse siku hadi 2015 uviringishe mkono upya. May be itawezekanaRais anafanya kampeni ITIGI WHY? Nini kifanyike kuwe na usawa
Binafsi nimeshindwa kuelewa
Sent using Jamii Forums mobile app
meli ya samaki ya wachina barabara mbovu na barabara Kimara kivukoni katia hera ndani kapunguza upana wakeYeye mwenyewe kujitumbua vipi? Maana uuzaji wa nyumba za serikali na ununuzi wa kivuko kibovu ni majipu yake hayo.
tangu miaka 56 iliyopita wenzao Singapore wanapamban na wazungu tuliopata nao uhuru na wala hawana ardhi kama yetu tatizo la viongozi wa CCM nikutokuona mbali na kuwa wezi wa kufuja mali za umma na kukosa visionHIVI SASA RAIS ANAONGEA. ANASEMA MKOA WA SINGIDA ULIKUWA NA KILOMETA TATU TU ZA LAMI
kwani kwanza zipo makabati yamebaki tupu maana serikali fedha zote zinajenga uwanja chato na nyumba ya mama yake mwenyekiti wao wa ccmNAIBU WAZIRI WA AFYA; HAKUNA DAWA ZA SERIKALI ZITAKAZOIBIWA TENA....MTUMISHI WA SERIKALI ATAKAYEIBA DAWA ATAANGUKIWA NA KITU CHENYE NCHA KALI KICHWANI
Magufuli nadhani apumzishwe maana ameshindwa kuanzisha miradi yake anarudia kufungua miradi ambayo alisha funguwa Kikwete shame on him kazi maneno maneno vitendo hakunaLeo kuna tukio bab kubwa ambapo Rais wa nchi mh dr. John Magufuli na wananchi akizindua ujenzi wa barabara inayotoka manyoni hadi itigi yenye urefu wa karibu kilometa 90. Rais magufuli ameonyesha utendaji ulio bora kabisa kwa kutatua kero za msingi za wananchi na anaendelea kufanya hivyo. fuatilia uzi huu kwa updates za tukio hili muhimu.
...inaelekea hadi chupi kavaa kijani au manjanoNguo zimepata mvaaji.
Mtaishia kuvaa fulana ukuta mahakamani. Hamna hoja Za kuleta Maendeleo.meli ya samaki ya wachina barabara mbovu na barabara Kimara kivukoni katia hera ndani kapunguza upana wake
Tutavaa tu kwani nchi hii ni ya mamayako au yetu sote yaani wewe ni nani zaidi ya TanzaniaMtaishia kuvaa fulana ukuta mahakamani. Hamna hoja Za kuleta Maendeleo.
Ni kwelinje sio kipaumbele cha watanzania
Na kweli wamejaa sanaKiboko ya mafisadi waliojazana CHADEMA
Aseeee wale waliotajwa na professor ussoro kuwa wametufikisha hapa tulipo ndio sio kiboko yao eeh!!!!Kiboko ya mafisadi waliojazana CHADEMA