mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,858
- 106,103
Inawezakana alilogwa na watu aliowafanyia figusu ili aue.Maana bongo kila kitu kinawezekana
jaman jaman ebu tuwage na busara sasa yeey mkurugenzi amekuaje kuaje na kuhusisha ccm? kwahyo kwa sabab yy kaua manake na watoto wake wameua??? sometimes blandas sio sifa
wenyewe wanatamba eti ni zamu yao sasa.nzabamba kazini
usahihi ni mkurugenzi wa halmashauri ya Itigi na sio Manyoni, Itigi ni Halmashauri kamili na ina mkurugenzi Wake, aila haijawa wilaya kamili, soon itakua wilayaNi Mkurugenzi wa Wilaya ya Manyoni sio Itigi
Nakumbuka Clement Gregory Mabina aliyekuwa Diwani wa Kata ya Kisesa na Mwenyekiti wa CCM (M) Mwanza aliuliwa na wananchi "wenye hasira" katika ugomvi wa shamba katika eneo la Kijiji cha KANYAMA Wilayani MAGU.
Mkurugenzi wa Halmashauri ya ITIGI amemshambulia na kuua mtu mmoja kisa mgogoro wa shamba.
Mkurugenzi huyo amemuua mtu huyo ndani ya kanisa la sabato kwa bunduki.
UPDATES:
VIDEO:
Baadhi ya habari/taarifa kuhusiana na Mkurugenzi huyu:
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Itigi amshukia vikali Waziri Jafo kwa kuupotosha umma!
Hivi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi kwa mauza uza yake yote hajatumbuliwa tu?
Mkurugenzi Halmashauri ya Itigi atishia kuwasweka rumande walimu waliohamishwa kisa madai ya stahiki zao
Eti Meneja wa City Style Hotel naye kawa DED wa Itigi, jamani tuweni serious kama nchi
Huyu jamaa, sio mara ya kwanza, hafu hapend kuona mtu anafanikiwa,
Kama mtu anaweza kumtwanga risasi mwananchi mchana kweupe mbele ya watu wengi,najiuliza ni wizi wa kiasi gani atakuwa anafanya.