mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,833
- 106,021
Hivi kesi ya huyu DED muuaji iliishia wapi?
Mteuaji alinyamaza kimyaaa! Utafikiri DED kaua kuku.Nafasi yake haija jazwa bado?
😎Cc pascal mayala
Hii nchi inawenyewe.Huyu mkuregenzi yungali ofisin ajatumbuliwa hii uleta picha gani hali wengine tuhuma tu chali
Mambo haya na kina Sabaya dhuluma,double std ndio sehemu ya chuki waliyonayo watu mioyoni.Huyu mkuregenzi yungali ofisin ajatumbuliwa hii uleta picha gani hali wengine tuhuma tu chali