Blessed Jr
Senior Member
- Nov 17, 2016
- 134
- 235
habari wana jamvi, kutokana na kutokuwa na Forum ya Mkoa wa Singida, binafdi nimeona tukutane hapa ili kujuzana maswala mbalimbali yanayohusu mkoa wa Singida na tuweze kujadiliana na kuusaidia Mkoa wa Singida.
Ukiwa Mbunge, DC, RC, RAS, DAS, MKURUGENZI na yeyote wa Singida basi huu ndiyo uzi wetu watu wa Singida.
Karibuni sana,
Nawasilisha.
Ukiwa Mbunge, DC, RC, RAS, DAS, MKURUGENZI na yeyote wa Singida basi huu ndiyo uzi wetu watu wa Singida.
Karibuni sana,
Nawasilisha.