ARGAN MARA
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 1,161
- 3,003
Sio hyo kaka yenyew ni Basi kampuni ya TAKBIR na fuso TandamuNi ajali imetokea pale Mgori njiapanda ya Igunga-Kiomboi.
Basi la Ally's coach limegongana na Canter.
Tumeipita hapo saa tisa mchana tunaelekea Shinyanga.
Hatari sana ,Ajali zinamaliza nguvu kazi,poleni ndugu jamaa na marafiki,R I P wote mliotutoka leo ajari imetokea leo singida Basi kampuni ya TAQBIR limegongana na roli aina ya fuso dereva wa hyo fuso no ndugu na mimi View attachment 2007122View attachment 2007123View attachment 2007124
Habari njema?!!!Ni habari njema lakini ulitakiwa uweke Tarifa ya awali Aina ya magali Vifo na Nk ,Sasa umeandika tunaelewa nini
Safar njema aisee huko uendakoNi ajali imetokea pale Mgori njiapanda ya Igunga-Kiomboi.
Basi la Ally's coach limegongana na Canter.
Tumeipita hapo saa tisa mchana tunaelekea Shinyanga.
Yaani jamaa alichoandika na user name yake vyote vinafanana.Habari njema ipi mkuu mbona sijakuelewa kwenye hili?
Ajali popoteRisk ni kubwa sana kusafiri kwa bus. Bora nitafute hela niwe nakwea mbung'o tu chap. Risk ya ajali kwenye mbung'o ni ndogo kuliko bus unalokalia masaa zaidi ya 12.
Duh aseeeUmekimbizwa kuleta habari au?
Tyiping errorHabari njema ipi mkuu mbona sijakuelewa kwenye hili?
Kaka yake ni dereva wa hiyo fuso na kafariki,mtu analeta Habari unaponda,wabongo acheni ujuaji wa kishamba halfu sio lazma kukomenti.Umekimbizwa kuleta habari au?