Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,088
- 6,368
umeshapewa sababu
sasa amua sasa
Tatizo lake ni kwamba hajataka kukubali ukweli kuwa huyo mwanamke hamtaki tena....akikubali matokeo ataamua...
umeshapewa sababu
sasa amua sasa
heshima kwenu wote,................wana jamvi,ni takribani mwaka wa tatu sasa tangu niingie ktk ndoa na mwanamke ambaye niliamini tunapendana sana,lakin mambo yamenibadilikia hasa baada ya wife kuhitimu masomo yake ambayo pia nilimgaramia kama njia ya kumkwamua kielimu na kwa maisha ya baadae kwani amebadilika na kufikia hatua ya kunitamkia kuwa ni kheli tuachane na kila mtu aishi maisha yake kwa kua kama kazi anayo na anaweza kujitegemea.na sababu kubwa iliyopelekea yote hayo ni baada ya kugundua kua anamahusiano ya kimapenzi na bwana mmoja na nilipomuuliza likanusha na kudai nisimfatilie na nimwache na maisha yake,
tuna mtoto 1,naombeni busara zenu
ungekuwa na moyo kama wangu ningekwambia hivi mdharau kwa namna ya ajabu na ndoa kama ni ya kanisan ama mskitin usimpe talaka ila mwonyehe as huoni kama kuna mtu humo ndani yaani mfanye kuwa fenicha. ukirudi pita na 50 zako, ukienda chumban kulala lala kimya wala usimguse. usimulize jambo lolote la heri wala la shari wala usimpige. ufanyapo haya jitoe akili kabisa ona kama ni binti wa kazi tu humo ndani. kama anaakili lazima nanga itapaa.
wakati nipo chuo nilikuwa na mpenzi wangu akawa anataka sana tuoane, nikamwambia ukimaliza chuo tu ntakuoa, kamaliza mwaka huu na habari za ndoa hana na tumekwisha achana. unajua kwanini nilimwambia akimaliza ndio ntamuoa, kwasababu mimi mwenyewe nilikuwa chuo na nilikuwa naona jinsi mahusiano ya watu yanavyoharibika hivyo nilijua miaka mitatu ya chuo kwake itakuwa ni kipimo kikubwa cha uaminifu, lakini alilshia kupata bwana mwingine na kunisahau. usimwamini mtoto wa chuo hata sikumoja.
ushauri: muweke chini muyaongee kama hataweza kujirekebisha bora umuache songa mbele na maisha yako, wala usipeleke suala kwa wazazi, kwani akikubali kwa shinikizo la wazazi huko mbele atakusumbua tu.
ungekuwa na moyo kama wangu ningekwambia hivi mdharau kwa namna ya ajabu na ndoa kama ni ya kanisan ama mskitin usimpe talaka ila mwonyehe as huoni kama kuna mtu humo ndani yaani mfanye kuwa fenicha. ukirudi pita na 50 zako, ukienda chumban kulala lala kimya wala usimguse. usimulize jambo lolote la heri wala la shari wala usimpige. ufanyapo haya jitoe akili kabisa ona kama ni binti wa kazi tu humo ndani. kama anaakili lazima nanga itapaa.
heshima kwenu wote,................wana jamvi,ni takribani mwaka wa tatu sasa tangu niingie ktk ndoa na mwanamke ambaye niliamini tunapendana sana,lakin mambo yamenibadilikia hasa baada ya wife kuhitimu masomo yake ambayo pia nilimgaramia kama njia ya kumkwamua kielimu na kwa maisha ya baadae kwani amebadilika na kufikia hatua ya kunitamkia kuwa ni kheli tuachane na kila mtu aishi maisha yake kwa kua kama kazi anayo na anaweza kujitegemea.na sababu kubwa iliyopelekea yote hayo ni baada ya kugundua kua anamahusiano ya kimapenzi na bwana mmoja na nilipomuuliza likanusha na kudai nisimfatilie na nimwache na maisha yake,
tuna mtoto 1,naombeni busara zenu
Face the truth, go for the hardest decision and move on. Don't fool yourself that shez gonna come and tell you that all that i did was wrong!You are dead wrong giving her the benefit of doubt. I know u kind of avoiding the tough decision, but thatz the reality, you are no longer wanted dude!...Pole sana...sasa umeshatamkiwa hivyo na mkeo unasubiri nini tena kufanya maamuzi mazito? au unataka akuletee mtoto wa nje ya ndoa?
hapo kwenye red ndio fimbo yangu yakuchapia binadamu sina muda kabisaaa na hawa binadamui've learned..
I came alone and i've to go alone
i've learned
people r with u only when they need u, not otherwise
i've learned.
Extra care of anyone by you will ultimately bring a blame for you, not appreciation
i've learnd..
A simple lie of ur close one can break you more than anything
i've learnd
i've learnd..
Help people but not upto the point beyond ur dignity.
dont let someone become a priority in your life
when you are an option for them............
pole sana, mwache aende kama ndicho anachotaka, kisicho riziki hakiliki wangu