Habari wadau
Mimi ni mdada wa miaka 27 kuna hiki kitu nashindwa kukielewa ni kawaida ama nina mapungufu.
Nimepita kwingi kwa maana ya kukutana na watu tofauti tofauti kuanzia primary, olevo, advance, diploma chuo kikuu na sasa kazini, majirani, kanisani na kijijini nilikozaliwa kuna wengi ambao tumekutana huko wa jinsia yangu na hata jinsia nyingine tukapendana sana na kushirikiana but linapokuja swala la jambo linanisumbua akili huwa sinaga rafiki naeweza kushare nae.
Ni kama kila mtu kwa tabia zao navyowafahamu nikimshirikisha jambo langu najua ndo utakuwa kwanzo wa kila mtu kufahamu. Mpaka umri huu sina mtu naemwamini 100% hasa mdada mwenzangu wa kuweza kusaidiana kimawazo.
Unanishauri nini?
Ni kawaida ?
Mimi ni mdada wa miaka 27 kuna hiki kitu nashindwa kukielewa ni kawaida ama nina mapungufu.
Nimepita kwingi kwa maana ya kukutana na watu tofauti tofauti kuanzia primary, olevo, advance, diploma chuo kikuu na sasa kazini, majirani, kanisani na kijijini nilikozaliwa kuna wengi ambao tumekutana huko wa jinsia yangu na hata jinsia nyingine tukapendana sana na kushirikiana but linapokuja swala la jambo linanisumbua akili huwa sinaga rafiki naeweza kushare nae.
Ni kama kila mtu kwa tabia zao navyowafahamu nikimshirikisha jambo langu najua ndo utakuwa kwanzo wa kila mtu kufahamu. Mpaka umri huu sina mtu naemwamini 100% hasa mdada mwenzangu wa kuweza kusaidiana kimawazo.
Unanishauri nini?
Ni kawaida ?