King Mutesa
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 227
- 140
Wanajamii Wenzangu.!!
Tangu kubalehe kwangu mpaka sasa najiunga na chuo kikuu sijawahi kuwa na demu wa aina yeyote ile.!!
Nikiwa shule huwa napenda kupiga msuli na nikiwa home huwa napenda kusikiliza muziki..!!
Sasa je Wanajamii nikiwa chuoni niendelee na huu msimamo wangu au ntafute kademu kakuniliwaza..!!
NB-:Haimaanishi mie ni mwanaume mbovu..!!!
Tangu kubalehe kwangu mpaka sasa najiunga na chuo kikuu sijawahi kuwa na demu wa aina yeyote ile.!!
Nikiwa shule huwa napenda kupiga msuli na nikiwa home huwa napenda kusikiliza muziki..!!
Sasa je Wanajamii nikiwa chuoni niendelee na huu msimamo wangu au ntafute kademu kakuniliwaza..!!
NB-:Haimaanishi mie ni mwanaume mbovu..!!!