Sina Mgogoro na CHADEMA


Ngumu kumeza,Hivi mkuu ile video ya Rwakatare,aliyorekodiwa,wewe ukimuoji,hebu ifafanue kidogo,maana inaonyesha wewe ulikuwa aware,wakati inarekodiwa,ila Rwakatare hakuwa na habari kama yale mazungumzo yanarekodiwa,mi nafikiri ungeanzia hapo kwenye video kama nia yako ni kujisafisha,maana unayoyaeleza hapa,yanatatanisha,unaiponda CHADEMA,wakati huohuo unaisifia,kwanini kama unaushaidi wa ufisadi ndani ya CHAMA,kwanini usiufikishe kwa viongozi husika,au pereka TAKUKURU,acha kulalama huku mtaani,wewe unaonekana kama kibaraka tu wa CCM,
 
Chadema-phobia syndrome.

Pole sana Ludovick ila hakika kwa kurudia kusoma post yako nimegundua huna amani nafsini mwako. Una majuto na mashaka, hasa ya kukataliwa na jamii.

pole sana, ila haya malalamiko peleka kwa uongozi wa tawi lako sio JF au any other social media
 
Pasco kuja hapa uchukue taka taka yako ukaifanyie counselling
Mkuu Mwalimu Joseph Ludovick, asante tena kwa bandiko jingine lenye some inconsistances ambazo ni proof ya insanity!, amini usiamini if not that "you are insane!", then your are going to be sooner than expected!.

Ila hata wale vichaa wanaotembea na "birthday suit" zao wao wanajijua wako right, kwa sababu hivyo ndivyo binadamu anavyozaliwa na hivyo anawashanga wengine wote wanaovaa nguo!.

The insanity in you iko kwenye "the ill motive behind",

Na kwenye bandiko lako hili, umeiweka kwenye sentensi ya mwisho, kuwa iwapo Chadema kitakuja kufanikiwa kushika dola, then kitakuwa ni chama kibaya kuwahi kutawala Afrika, na kueleza dalili umekwisha ziona, ili tukuulize uzitaje hizo dalili, ufunguke!.

You seriously need help!, ningekuwa nakufahamu in real life, ningekusaidia kiukweli kabisa!.

otherwise, endelea kuusema huo ukweli daima, mimi nausubiria ule ukweli utakaousema mahakamani haswa the motive behind kazi nzuri iliofanywa na "Bukoba Boy!" kwenye ile "bonafide genuine" movi!.

Thanks.

Pasco
 
Kutoka nje ya uwanja wa CHADEMA ni zaidi ya kuugua UKIMWI
 
Joseph Ludovick,

Wacha kuweweseka kwani iache jamii itaona kama u mwema au la, kwani wasaliti siku zote wajiona wapo sahihi kumbe sivyo ndivyo.
 
Sidhani kama unanianjema Nachamachetu wewe nikikusoma katikati ya mistari baado naona Act flani
 

Mkuu Pasco kupitia hapo bolded blue niseme, hapo bolded red kuwa huyo jamaa naamini "unamfahamu" au ungekuwa wale wenzetu Walokole ningesema umeshukiwa au umeonyeshwa kupitia maono na hivyo unamjua/Unamfahamu hii ni kutokana na namna unavyomwelezea (bolded blue).

So ni kweli jamaa anahitaji ushauri nasaha si mpaka uende nyumbani hata kupitia Chumbani (PM) kwa hapa Jamvini unaweza kumshauri naamini kama atakuwa hajachanganyikiwa kupita kiasi atakuelewa. Fanya hima kabla jamaa hajafikia hatua ya kukimbizwa kwenye zile hospital zetu za magonjwa ya Akili yaliyoshindikana (Mirembe) hii naisema kwa dhati ya moyo wangu na wala simkejeli mtu

Kiukweli jamaa yetu bado ni kijana mdogo sana na Kwakweli ndoa yake ingali changa, kuoa mwaka 2012 ni wazi kwamba kama yeye anavyomwitaji mwenzi wake naye ndivyo anavyomwitaji tena akiwa na akili timamu na si kama alivyo hivi sasa Hivyo ukisaidia kutoa ushauri wenye tija kwa ndugu yetu utaona kwamba utakuwa umeweza si tu kumwokoa yeye bali utakuwa umeokoa ndoa yake na familia yake kwa ujumla.

Pasco , Ludovick Joseph

BACK TANGANYIKA
 
Last edited by a moderator:
huna mpya wewe. Zaidi unazidi kuizalilisha fani ya ualimu. Hakuna mwl. Mwenye akili za kunguru kama wewe. Mbaya zaidi umezidi kujipambanua jinsi ulivyo kigagula wa hao wanaokutumia kama mpira wa condom.

kwa kweli hii taaluma imevamiwa.kuna jingine linaitwa ni mwl kisandu.ni shida tupu kifikira.
 
Unapojianzishia thredi umu na sisi kukujibu ni kukupa promo ya bure tu.

Acha kutafuta cheap kiki ili uendelee kuwepo kwenye chat.
 
Huyu Mtoto nimesoma naye Duce pale alikuwa anakaa kijiweni na mtela maarufu ganzi ya bangi...... Ni mpuuz sana kijana huyu mpuzieni mjinga na mpumbavu sana....... Ludo amegundua ccm inawenyewe sasa anataka msamaha baada ya kuona vi fedha alivyohongwa vimeisha... Na mwigulu hamjali tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…