Kumbe alimrikodi LWAKATARW!!!!!!!!!Kama watu wanakusema vibaya kwa uliyofanya,na kwamba haya wakusemeao watu uliyafanya kwa nia njema juu ya chadema,sasa;
1.Wanasema umehusika kumteka Kibanda,je,hili lingekisaidiaje chama unachodai ni chako?
2.Wanasema ulihongwa na Mwigulu iliumrekodi na baadae kutengeneza video ili chama kihusishwe na ugaidi na baadae kifutwe,je,na hili lingekisaidiaje chama ulichokula njama ili kifutwe kwa video ya kutengenezwa?
Jibu hayo kwanza mkuu mwalimu
Ludo uko sawa kweli mdogo wangu? Tafuta utulivu na wataalam wa ushauri nasaha wakushauri. Sio kawaida kwa mtu uliyekumbwa na masaibu yote yale umetoka gerezani majuzi na kashafa kibao unakuwa so outgoing. Tuliza akili kwanza ndio ukirudi ukisema unaipenda sijui chadema,sijui unaikosoa ndio utaeleweka. Unalazimisha kuwa somebody wakati we ni nobody na huna madhara yoyote. Nakuonea huruma sana unavyohangaika mara sijui unawasiliana na makao makuu kila siku. Na wasiwasi uchizi unaanza kukuingia. Unajua hata km hayo unayosema unashauri ni kweli sio muda wake kwa sasa kutokana na mazingira yanayokuzunguka. Na hakuna atakayekuchukulia serious hata maadui wa chadema watakupuuza tu. Chama hakina habari na wewe huku unalazimisha kushauri! Tulia kwanza urudi upya polepole. Utakufa kwa kihoro bure. Kwa sasa you are nothing!
Huyu Bwana ni msemaji rasmi wa chama chetu na nadhani amesoma post yangu yote. silence means YES.
Huyu jamaa hata hiyo degree ya ualimu aliipata vipi. Ni mweupe sana kichwani.
Tiba
Kama akili ya mwalimu iko hivi,kwanini wanafunzi wasiendelee kuwa mazuzuKumbe Ludovick ni mwalimu?!.Asije akamwaga sumu kwa watoto wetu anaowafundisha!.
Ikiwa ni kweli unawasiliana na wakubwa wako hapo makao makui kila siku kwanini usiwaambie huo unaouita ushauri? Lakini ndugu yangu yote uliyofanya kuhujumu Chadema na unayoyafanya sasa bado unasema unaipenda Chadema? Come on Ludo unatuona wooote wajinga ila wewe tu ndio kichwa??? Kuna jamaangu alinambia Wahaya hujiona wao wanajua kuliko wengine na wengine wote wajinga tu, lakini nimegundua sio wote bali wachache style ya Ludo wamo. Ulipata ajali kwenye gari la uenezi la ACT ukiwa kwenye harakati na wenzako wa ACT, unaenezaje chama usichokuwa mwanachama? Kama ni mwanachama mbona hutoi ushauri huko bali chama ulichotoka?
Mkuu huwa mnawalipa wanao andamana?
ludo kama kesi iko mahakamani nyuzi za nn,pumzisha akili yako dogo, nikushauri, ualimu ni bora kuliko hii shughuri unayofanya ona inavyokutesa.Majibu timilifu ya haya maswali hayawezekani kwa sababu ya kesi iliyoko mahakamani.