Sina lengo la kukashifu dini, ila Walokole mna kelele sana

Status
Not open for further replies.
Wewe kama umeshindwa kumtafuta Mungu kila la heri tuache sisi na ulokole wetu tuwasiliane na Mungu wetu
Nina kaeneo kangu nje kabisa ya mji, ambako ninalima na kufuga kiaina. Sifa moja ya huku ni ukimya wake. Hivyo niliamua kuweka kakibanda ambako ninalala siku nikiamua kuja, nina lala huku, ili kujitibu na kelele za mjini.

Sasa leo nimekuja, nakuta kelele za ajabu. Kumbe kuna kanisa limefunguliwa. Watu wanasali kwa kulia, kuimba na kupiga makelele.

Hivi walokole hamuwezi sali bila kupigia watu kelele?
 
Nina kaeneo kangu nje kabisa ya mji, ambako ninalima na kufuga kiaina. Sifa moja ya huku ni ukimya wake. Hivyo niliamua kuweka kakibanda ambako ninalala siku nikiamua kuja, nina lala huku, ili kujitibu na kelele za mjini.

Sasa leo nimekuja, nakuta kelele za ajabu. Kumbe kuna kanisa limefunguliwa. Watu wanasali kwa kulia, kuimba na kupiga makelele.

Hivi walokole hamuwezi sali bila kupigia watu kelele?
Hao wanaofunga maporomondo makubwa mengi alfajiri, mchana na jion wanapga kelele mji mzima, na hao wanaokesha wanapga ma nyimbo na ugomvi na karaha na makelele ya kila namna, mbona sisi hatujasema, kwahyo kuweka ka kitega uchumi kako hapo ndo unataka watu wote wakuone wew nan, na unataka kuzuia watu wasifanye mambo yako kisa wew au?
 
Wote tunampenda Mungu, ila nyie walokole mnakera Sana, sijui mnaona wengine mashetaani.

Hiyo ya kelele za maombi sio mbaya, ila magitaa na manyimbo yenu sauti inaenda kms kadhaa.

Kazi kuoana tu humo makanisani, uzinzi ni dhambi imewashinda kabisa.
Hayo unayajua wewe. Sisi ni kazi moja tu kuwasiliana na Mungu wetu kupitia jina lenye herufi nne tu 'YESU'
 
Ukiokoka na ukimkiri Yesu utaona utamu uliomo katika imani yetu
Wote tunampenda Mungu, ila nyie walokole mnakera Sana, sijui mnaona wengine mashetaani.

Hiyo ya kelele za maombi sio mbaya, ila magitaa na manyimbo yenu sauti inaenda kms kadhaa.

Kazi kuoana tu humo makanisani, uzinzi ni dhambi imewashinda kabisa.
 
Mungu huweza kutizama machozi ya Mtu na kujua ana shida gani.
Acha walie bhana.

Wewe kama huwa usali, basi appreciate wanao sali na kuombe nchi.

Just imagine tulitabiliwa tutakufa kama kuku wa kideli.
Tanzania tungelikua watu wote wenye akili kama yako, nahsi ujinga tungelikua tumeushinda kitambo tu, ila badala yake bado vilaza ni wengi kama mleta hii thread!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom