Distant Relatives
JF-Expert Member
- Nov 21, 2020
- 415
- 729
Nina kaeneo kangu nje kabisa ya mji, ambako ninalima na kufuga kiaina. Sifa moja ya huku ni ukimya wake. Hivyo niliamua kuweka kakibanda ambako ninalala siku nikiamua kuja, nina lala huku, ili kujitibu na kelele za mjini.
Sasa leo nimekuja, nakuta kelele za ajabu. Kumbe kuna kanisa limefunguliwa. Watu wanasali kwa kulia, kuimba na kupiga makelele.
Hivi walokole hamuwezi sali bila kupigia watu kelele?
Sasa leo nimekuja, nakuta kelele za ajabu. Kumbe kuna kanisa limefunguliwa. Watu wanasali kwa kulia, kuimba na kupiga makelele.
Hivi walokole hamuwezi sali bila kupigia watu kelele?