Sina kabisa mpango wa kutoa mkono wa sweta ( kutahiriwa) kwa sababu zifuatazo

Mayala B

JF-Expert Member
May 13, 2019
1,450
3,379
Habari zenu wana jukwaa wa jf natumai muko wazima wa afya njema kabisa

Demu wangu ambaye baadae anaweza kuja kuwa mke wangu hataki kabisa nitahiliwe, alishanambia endapo nikitahiriwa basi ndo utakuwa mwisho wa mapenzi yetu

Anasema anapenda sana govi ashawahi kuwa na wanaume waliotahiriwa lakini kwenye mkono wa sweta ndo kafika utamu anaousikia hajawahi kuusikia na ananipenda sababu ya govi na si kingine maana kama hela sina na wala siyo hensamu


Nina mademu kama watatu hivi ambao sinaga hata mda wa kuwaomba mechi lakin wao ndo huniomba mechi kwa kudai kuwa wamemis govi langu, mademu hawa ni tofauti na dem wangu ninaye muongela hapa, mademu hawa kila mmoja kwa wakati wake huwa wanadai wanafurahia sana mechi za govi na hawako tiar kuachana na mimi hata kama wakiolewa wataendelea kunitafuta ili wapate radha ya mkono wa sweta


Nami toka mwanzo nishagasema siwezi kabisa kukata mkono wa sweta na hawa mademu ndo wameniongeva nguvu kabisa kabisa

Nakupenda sana mkono wangu wa sweta na sitakuja kuu kata hata siku moja


Alafu ninachoshukuru sina dhambi ya kujipunguza kiungo maana alichokupa Mungu si vizuri kukitoa au kukitaka maana yeye hakuwa mjinga kukuwekea mfuniko


MAYALA B
 
Nmefungua fasta baada ya kuona mayala,
Aseee..
Kina mayala wana IQ kubwa bila shaka hili jina umejipachika tu..
Anyway your life your choice
 
Jesus
naijatwittersavages-20190528-0002.jpeg
 
Back
Top Bottom