Sina imani naye tena

Sina imani naye tena

badala yakumwambia muende angazakupima, unamwambia akupe historia yake?
 
images (1).jpg
 
Unaandika utafikiri una tumbo la kipindupindu. Tulia uandike kitu kinachoeleweka.

Hahahaha yani umenikumbusha zamani sana aisee sijui ndio lilikuwa tumbo la kipindupindu maana full kukaa mlango wa chooni......
 
Back
Top Bottom