julius caesar
Member
- Mar 20, 2015
- 94
- 27
Habari wana JF,
Kusema kweli nimepitia changamoto nyingi za kimapenzi, huko nyuma nimesalitiwa sana na wanawake niliowapenda.Lakini sasa binafsi naona umuhimu wa kuoa na kujenga familia,lakini tatizo langu si mwamini mwanamke yoyote.
Tatizo hili linanipa wakati mgumu sana kuweza kuoa coz sasa kila mwanamke nayempata nahisi simwaminifu.
Msaada wenu wa ushauri Tafadhali!
Kusema kweli nimepitia changamoto nyingi za kimapenzi, huko nyuma nimesalitiwa sana na wanawake niliowapenda.Lakini sasa binafsi naona umuhimu wa kuoa na kujenga familia,lakini tatizo langu si mwamini mwanamke yoyote.
Tatizo hili linanipa wakati mgumu sana kuweza kuoa coz sasa kila mwanamke nayempata nahisi simwaminifu.
Msaada wenu wa ushauri Tafadhali!