mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 45,751
- 55,787
haujakuwa bhado.
Atawazalisha dada zake???
Ninyi msifikiri watoto kulelema na single parent ni vizuri, hii kitu inawaathiri sana watoto kisaikolojia, mtoto kuishi na mzazi mmoja itokee kama bahati mbaya lakini sio mtu unafanya mchezo na maisha ya kizazi chako, maisha yetu waafrika hatujafika huko, namuonea huruma huyo kama atasikiliza ushauri huo, tena namsihi akaongee na wababa wenzie wanaolea watoto wenyewe aone kama wanafuraha.
Mfano wa matatizo ya kisaikolojia ni yapi?
Kama unaweza pata mwanamke ambaye atakuwa tayari kuzaa mtoto na wewe; fanya hivyo then chukua mtoto wako lea. Mimi nimeoa mwaka wa sita sasa sioni faida yoyote,
Njoo nikupeleke chuo cha mapadri mkuu.
Utasolve matatizo yako mngi sana huku duniani kama ushashindwa maisha ya ku cohabit
Labda ujaribu ile jinsia nyingine. .
Kama unaweza pata mwanamke ambaye atakuwa tayari kuzaa mtoto na wewe; fanya hivyo then chukua mtoto wako lea. Mimi nimeoa mwaka wa sita sasa sioni faida yoyote,
Atakuja kukusimulia vizuri huyo anayachokonoa hayo matatizo, yakimfika atarudi kusimulia
Hicho chuo Kinapatikanq wapi mkuu?
Heshma yako hommie wake umbuje,Nimependa hilo jina ulilombatiza,mvivu!!Umbuje wa hommie wangu Kaizer, unajua kuna watoto wa kuadopt? Labda huyo mvivu ndo anawazungumzia. Yani wanaume wenzie tuzalishe yeye atulelee wanetu....