Sina hela lakini wanawake wananitongoza

Ndege john
 
Nakupenda toto sitaki upwelepwete wataniulia toto angu
Mimi ni totoo yako ila jua kuwa ni mkubwa pia,kwa sababu naona tokea nianze kukuita shangazi kuna watu wameanza kunipotezea eti mimi ni katotoo!Watu wazima na ndevu zetu tuna mashangazi pia!Mimi kuwa mtu mzima hainiondolei sifa ya kukuita wewe shangazi!!
 
Mwanaume kujisifia kupendwa/kupiga show vzr hadharani ni sawa na mwanamke tuuu anaejisifia kuwa anamakalio makubwaa!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeanza kupotezewa
 
Noana matangazo ya biashara, hope utapata wateja wengi humu
 
Hivi mtoto wa kiume kutongozwa na mademu unaona ni sifa hadi kuja kutangaza humu jf?
 
ZA KUFIKIRIKA SANA HIZO, HAO WENYE KIPATO NA BIASHARA NZURI SI NIWAKUAJIRI KWENYE OFISI ZAO AU BNESS ZAO KAMA NI KWELI WANAKUPENDA
 
kama nafsi yako imeridhia,fanya mchakato wa kumchukua;na wengine huwa wanapenda kweli ili kulipiza yaliyowakuta huko nyuma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…