Sina dalili ya upendo kabisa

Upo sahihi lakini unapotafuta ngono tu kwa kila mwanamke itafika wakati hutafurahia chochote.
Mapemzi yapo ingawa ni nadra kuyapata.
Mapenzi ni yako ingawa ni nadra kuyapata.

Basi sisi ni wale ambao bado hatujapata kwa mantiki hiyo ni kazi sana kutuaminisha kama kuna nje ya ngono kuna upendo tena

Haha
 
Mapenzi ni yako ingawa ni nadra kuyapata.

Basi sisi ni wale ambao bado hatujapata kwa mantiki hiyo ni kazi sana kutuaminisha kama kuna nje ya ngono kuna upendo tena

Haha
Tatizo lako limeanzia utotoni, hujawahi kupata upendo wa wazazi wako wawili. Correct me if am wrong.
 
Mkuu kuna uyu Demi amesema sisi ambao tupo hivi tulikosa upendo wa wazazi

Ndio,maana tupo design hii
Kwa upande wangu it's absolutely true

Kwa sasa Demi nifanyaje sasa kama hii hali bado inaendelea kunitafuna


Yukwapi
 
Absolutely true
πŸ˜‚πŸ™ƒ
Pole sana. Ndivyo inavyokuwa..huwezi kumpenda mtu kama hukushuhudia wazazi wako wakipendana au kama umekosa mapenzi kutoka kwao ukiwa mdogo.
 
Mkuu kuna uyu Demi amesema sisi ambao tupo hivi tulikosa upendo wa wazazi

Ndio,maana tupo design hii
Kwa upande wangu it's absolutely true

Kwa sasa Demi nifanyaje sasa kama hii hali bado inaendelea kunitafuna


Yukwapi
Tafuta mwanasaikolojia akusaidie kama kweli unataka hili tatizo liishe, au uji-counsel tu mwenyewe maana sisi wabongp mambo ya wanasaikolojia hatuna mazoea nayo.
Tumia mtandao(internet kupata taarifa). Pia unaweza tu kubadili mtazamo kwamba inawezekana kubadilika na ukapenda.
Mfano mimi nina mapenzi tele jamani..hata nikiumizwa na mmoja siwezi kuyachukia mapenzi, nitakuja kupenda tena lazimaπŸ˜€.

Ingawa kuna ukweli kwamba siku hizi mapenzi yana matatizo..ni kama vile watu wamepunguza kupenda, hawajali.
 
Nitajaribu sasa
Nitajaribu sasa
Nitajaribu sasa
 
Jiachie..
Ukimpata anayekupenda jaribu kupenda. Punguza negativity.
Huwa najaribu sana lakini kwa upande wangu labda nakuwa sipati kitu nicho kihitaji hawa wanawake uku nje hawako loyal kabisa
 
Nilodhani huko nje wapo tofauti na wa huku
Kwa kiasi fulani wanawake haswaa wa jimbo ambalo nilikuwa nakaa wanavichwa vigumu sijapata kuona

Los Angeles hakuna wanawake kuna makahaba
 
Kama hata huko kijijini unekosa basi pole sanaπŸ˜€
Haha πŸ˜‚ ni zamani nahisi walikuwa wakisema kijijini waweza pata soulmate lakini kwa sasa hakuna cha soul wala mate

Ni drama
 
Et had pisi Kali zilizonyooka [emoji3][emoji3][emoji3] ni watu gan hao? Wanautofaut gan na wanawake wengine
 
Tatizo lako limeanzia utotoni, hujawahi kupata upendo wa wazazi wako wawili. Correct me if am wrong.
Najua vitu vingi,
Upo sahihi na yapo mengi ya kuongezea sawa nikipata muda ntaongezea madini.
 
Shikilia hapo hapo mkuu Kupenda ni upumbavu natamani kuwa kama wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…