Sina dalili ya upendo kabisa

Hii point nimeipenda sana , baadhi yetu haya mapenzi tunalazimisha tu
 
Hivi vitu vinakuja automatic jali yale uliyoyapa kipaumbele achana na mapenzi kwasasa kutokua/kuonekana na mpnz sasa haimaanishi wewe sio kamili utayakuta tu mbeleni
 
Gharama za juu kuanzia gani? Tuanzie hapo kwani.
Unakuta ana tuivpochi tukali kutoka Louis voitton au prada, anajipiga manukato kutoka chanel na mafuta ya bei chafu🀣🀣🀣
 
Unakuta ana tuivpochi tukali kutoka Louis voitton au prada, anajipiga manukato kutoka chanel na mafuta ya bei chafu🀣🀣🀣
Ila MM bhana, hujataja gharama ni kiasi gani, wee unataja vitu. Taja gharama kuanzia ni kias gani.
 
Ila MM bhana, hujataja gharama ni kiasi gani, wee unataja vitu. Taja gharama kuanzia ni kias gani.
Dollars πŸ’Έ 2000 mpka 5000 kwa pochi moja tu, weka na manukato mpaka 10000
 
Tofautisha mapenzi na ngono
 
Sasa muulize huyo OP km ana 10M ktk acc yake yoyote ya Bank. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hana hela huyo.
Kwa hiyo anatuongopea kuwa alisha pita mpka na pisi kali?😁
 
Kwa hiyo anatuongopea kuwa alisha pita mpka na pisi kali?😁
Watu wa humu waongo waongo Sana,kuna mmoja asubuh anasema mshahara wake Si haba halafu anaulizia wanapokopesha TV na JikoπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Pisi kali za chuo zinazoshindia mihogo, ndo vijana wengi huziita pisi kali.

Nweii, kuna pisi kali na kuna pisi classic, msichanganye hivi vitu. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hizo ni pisi kali kwenye zone zetu mkuu, kwa uchumi huu vijana wanaomiliki pis classic bongo wanaweza wasifike wa tatu.
 
Watu wa humu waongo waongo Sana,kuna mmoja asubuh anasema mshahara wake Si haba halafu anaulizia wanapokopesha TV na JikoπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Kumbe huwa unakuwaga seriously na maneno yetu humu😜
 
Hizo ni pisi kali kwenye zone zetu mkuu, kwa uchumi huu vijana wanaomiliki pis classic bongo wanaweza wasifike wa tatu.
Pisi kali ni natural, ila Pisi classic ni artificial.
Ndo maana watu hawajui kutofautisha, mzuri na mrembo.

Pisi kali hata buza zipo, je hizo classic? Na kwa maelezo yako ya vitu ulivyotaja bas sio pisi kali, ni classic na huyo OP hata kumtongoza hawezi.

Watu mtafute hela, πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Natamani ningejua kidogo kuhusu wewe, then ninge confirm kile ninachojua kuhusu Watu wa Aina Yako.

Kuna watu ambao Mungu amewaumba hivyo Kwa sababu Maalumu, those who are the chosen one, wako hivyo sababu Wana kazi kubwa ya kufanya..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…