Bin Shaib
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 1,315
- 1,186
Bwana wetu Yesu asifiwe wapendwa, Asalaam naalykum kwa waisilam wote natumaini mu wazima wote.
Moja kwa moja nizame ndani ya maada wapendwa. Mimi ni kijana ambaye natarajia kuingia kunako ndoa ikimpendeza Mungu wangu,
Umri wangu miaka 25
Kuna binti ambae tulikutana kwa mazingira fulani tukazoeana na tunaishi naye mitaa ya karibu japo kuna umbali kidogo, baadae alichukua namba yangu bila mi kujua, baadae ndo kuanza kuchati pamoja na mazungumzo kwa njia ya simu na ana kwa ana hadi kufikia binti kunitamkia kuwa anahitaji me niwe mme wake wa ndoa na ananipenda ,, basi sikumpa jibu la kumaanisha nikamwambia poa ikimpendeza Mungu tutakuwa pamoja.
Nimekaa naye hivo huku nikiendelea kumchunguza basi nami moyo wangu ukazidi kumpenda kila kukicha na nipo radhi kumuoa japo hapa katikati ilitokea changamoto fulani ambayo nikawa najiuliza saana, kuna kuna jamaa ambae tunasali nae kanisa moja naye akawa anamtaka kwamba anahitaji kumuoa na binti akawa ananitumia zile chating za jamaa akimuomba anahitaji kuwa naye.
Binti akanithibitishia kuwa anipenda mie na akamtumia jamaa sms kuwa mi ndo ntakuwa mumewe au baba watoto wake,, lakini sijajua kama jamaa bado wanaendelea naye katika harakati hizo.
Changamoto ya huyu binti:
Au niseme asili yake ambayo nishaiona kwake ni mtu ambae anapenda kuongea na kila mtu halafu ni mwongeaji sana halafu marafiki wengi wa kiume na kuchati anachat sana kila wakati yaani chaji yake huwa inaisha mara nyingi kwa kuchat hata nikiwa nae sms mara kwa mara zinaingia kwake, hiyo hali inanitia shaka je atakuwa mwaminifu kweli kama mimi nilivyo mwaminifu kwake?
Je, ntaiweza kweli hii hali maana mpaka tusha elewana me nikipata mahari nimchukue mtoto niweke ndani,,
Wadau kwa hili limekaaje?
Moja kwa moja nizame ndani ya maada wapendwa. Mimi ni kijana ambaye natarajia kuingia kunako ndoa ikimpendeza Mungu wangu,
Umri wangu miaka 25
Kuna binti ambae tulikutana kwa mazingira fulani tukazoeana na tunaishi naye mitaa ya karibu japo kuna umbali kidogo, baadae alichukua namba yangu bila mi kujua, baadae ndo kuanza kuchati pamoja na mazungumzo kwa njia ya simu na ana kwa ana hadi kufikia binti kunitamkia kuwa anahitaji me niwe mme wake wa ndoa na ananipenda ,, basi sikumpa jibu la kumaanisha nikamwambia poa ikimpendeza Mungu tutakuwa pamoja.
Nimekaa naye hivo huku nikiendelea kumchunguza basi nami moyo wangu ukazidi kumpenda kila kukicha na nipo radhi kumuoa japo hapa katikati ilitokea changamoto fulani ambayo nikawa najiuliza saana, kuna kuna jamaa ambae tunasali nae kanisa moja naye akawa anamtaka kwamba anahitaji kumuoa na binti akawa ananitumia zile chating za jamaa akimuomba anahitaji kuwa naye.
Binti akanithibitishia kuwa anipenda mie na akamtumia jamaa sms kuwa mi ndo ntakuwa mumewe au baba watoto wake,, lakini sijajua kama jamaa bado wanaendelea naye katika harakati hizo.
Changamoto ya huyu binti:
Au niseme asili yake ambayo nishaiona kwake ni mtu ambae anapenda kuongea na kila mtu halafu ni mwongeaji sana halafu marafiki wengi wa kiume na kuchati anachat sana kila wakati yaani chaji yake huwa inaisha mara nyingi kwa kuchat hata nikiwa nae sms mara kwa mara zinaingia kwake, hiyo hali inanitia shaka je atakuwa mwaminifu kweli kama mimi nilivyo mwaminifu kwake?
Je, ntaiweza kweli hii hali maana mpaka tusha elewana me nikipata mahari nimchukue mtoto niweke ndani,,
Wadau kwa hili limekaaje?