Sina Amani na Uhusiano

Sina Amani na Uhusiano

susan appie

Member
Joined
May 8, 2014
Posts
15
Reaction score
1
Man wangu anasema atajitahidi kuishi bila sex lakini ananishawishi, sana inaonesha hawezi bila sex natamani kutoka lakini nashindwa nisaidieni
 
Unataka ndoa huku unataka kulala na gagula lako khe! Wee vp dada?
 
We toka bhana....manake huko unakoenda utampata huyo asiependa 'sex'...na hata akichapiwa ye atafurahia tu na atalea watoto wa nje kama kawa!!
 
wee kama hawezi mpotezeee...ya nini kugegedwa wakati mahari hajatoa
 
We toka bhana....manake huko unakoenda utampata huyo asiependa 'sex'...na hata akichapiwa ye atafurahia tu na atalea watoto wa nje kama kawa!!

huyo cyo mume jamani na kwa uelewa wng mapenzi cyo ngono
 
Aise..wewe unaweza kukaa..au unambania mshkaji alafu unampa mwingine..mademu wengine nyie..
 
Hawa ndio form six walomaliza mtihani juzi wameanza fujo humu
 
nataka nione kama ana malengo na mimi coz akiulizwa always anasema bado mapema lalini huwa hazungumzii hilo niliwahi kumwambia tubreak up akakubali lakni tatizo la kwangu ninashindwa utoka huko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom