Sina Amani na Uhusiano

Sina Amani na Uhusiano

man wng anasema atajitahidi kuishi bila sex lakn ananishawish,sana inaonesha hawez bila sex natamani kutoka lkn nashindwa nisaidieni

Mwanaume yeyote ambaye amewahi onja hii kitu kwa wengine hawezi vumulia mpaka mfunge ndoa. Akikubaliana nawewe, kama ana nia na wewe ya kufunga ndoa basi tegemea kuanzisha mahusiano mengine ya kujipooza na mchemko Wa homoni za uzazi wakati anasibiri ndoa na bahati mbaya hakuna kipimo cha bikra ya mwanaume. Ila baada ya ndoa asipokuta bikra ya mwanamke na ulikuwa unambania tegemea ndoa kukosa muelekeo. But unahitaji kuwa mtambuzi nani wa kumpa mgegedo ingawa ni ngumu sana kumjua mkweli. Watu wameenda hadi kujitambulisha, madada wakajua huo uelekeo mzuri wakatoa pochi manyoya baadae jamaa wakaoa kwingine.
 
..wadada wanaojitunza nawapenda sana, kwangu wanaonyesha ukomavu wa hali ya juu. Kama hawezi kutimiza ahadi yake muache, he doesn't deserve you...jitunze!!
 
..wadada wanaojitunza nawapenda sana, kwangu wanaonyesha ukomavu wa hali ya juu. Kama hawezi kutimiza ahadi yake muache, he doesn't deserve you...jitunze!!

jua umri kwanza..
 
Man wangu is a boy who has no business experimenting sex with you because you are still underage.

Nikianzaga kufikiria tubinti tudogo tunakimbilia haya mambo nasikitikaga kweli.
 
huyo cyo mume jamani na kwa uelewa wng mapenzi cyo ngono
Kama sio mume kwahiyo huyo ni kaka yako? Kama huna undugu wa damu achia mzigo mshkaji ale...!! Tatizo lenu type zako huwa mnaachia mzigo kule halafu huku kwa mshkaji unabana!!
(Umepewa Bure hiyo makitu)
 
..wadada wanaojitunza nawapenda sana, kwangu wanaonyesha ukomavu wa hali ya juu. Kama hawezi kutimiza ahadi yake muache, he doesn't deserve you...jitunze!!

I am not ashamed to state that I was a virgin until 23.🙂

How difficult is it for a woman to keep her legs together?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom