JourneyMan
Member
- Apr 1, 2020
- 21
- 13
Kama heading inavyoeleza hapo juu,
Leo ikiwa ni siku ya 3,
Mwenetu amezaliwa na weeks 32/miezi 7 na kdg,
Physical yuko sawa, ana 3.2kg. Alipozaliwa tuu wakamuweka kwenye Mashine, baadae akaweza kupumua mwenyewe wakamtoa wakamhamisha kwenye chumba cha watoto njiti (premature) kwa ajili ya joto na care nyingine.
Changamoto tunayoipata hapa ambayo inatukosesha amani ni hili suala la kutotoa sauti kabisa, lakini pia Hawezi kuvuta maziwa inabidi tumpe lactogen 1.
Je, ndugu zangu hili suala ni la kawaida? Nini nashauriwa?, kama kuna ambaye ashapitia hali hii au hata kusikia/kuona naomba msaada wake.
Ni mwanangu wa kwanza hivyo sina raha ndugu zangu.
Leo ikiwa ni siku ya 3,
Mwenetu amezaliwa na weeks 32/miezi 7 na kdg,
Physical yuko sawa, ana 3.2kg. Alipozaliwa tuu wakamuweka kwenye Mashine, baadae akaweza kupumua mwenyewe wakamtoa wakamhamisha kwenye chumba cha watoto njiti (premature) kwa ajili ya joto na care nyingine.
Changamoto tunayoipata hapa ambayo inatukosesha amani ni hili suala la kutotoa sauti kabisa, lakini pia Hawezi kuvuta maziwa inabidi tumpe lactogen 1.
Je, ndugu zangu hili suala ni la kawaida? Nini nashauriwa?, kama kuna ambaye ashapitia hali hii au hata kusikia/kuona naomba msaada wake.
Ni mwanangu wa kwanza hivyo sina raha ndugu zangu.