i can say yes mkuu cuz imeshanitokea,niliumia sana cuz niliamua kumfanya huyo binadamu km sehemu ya maisha yng mwisho wa siku nikaonekana sina thamani mbele ya macho yake nikatupwa,yakafuatia maumivu makali na ugonjwa wa moyo kwa zaidi ya miezi miwili,siku zikaja siku zikaenda miezi na miaka sasa nimesahau,hivyo ata huyu nilie nae sitegemei makubwa sana kutoka kwake wala sijampenda km yule niliekuwa nae before kwa kuhofia maumivu tena,siunajua binadamu hawaeleweki?hivyo lazima tuwe na kiasi.
Mmhh... Wee hupendi kuoa?
kwa hiyo unamshauri ampe tu mdau awekelee mjamaa akinogewa yeye mwenyewe atatangaza nia sio?
mgeni lakini ukimuwekea mifuko haingii
Pole sana rafiki....but ndugu yangu some people are permanent residents in ur life while others are just passing through. It is important to know the different....
Habari wana Jf? Mko ndani ya mahusiano na mwenzako,mkajikuta mkipiga story story siunajua tena mtu unapotaka kujua msimamo wa mwenzako, mara ukachomekea swali ukajibiwa hivi " sijawahi kufikiria kuoa na wala sina mpango wala wazo hilo". Nahitaji ushauri kutokana na jibu hilo.
mgeni lakini ukimuwekea mifuko haingii