SANGA ONE
Senior Member
- Jul 7, 2012
- 125
- 29
Hi wana jamvi heshima mbele !!
Wajameni mwenye ujuzi na hili swala, kuna kitu kigeni kimejitokeza katika mahusiano yangu na shemeji yenu.
Nakumbuka mwanzoni kabla hatujaoana tulikuwa tukiinjoi mapenzi kama kawaida, ila katikati ya mwaka jana ndo hii kitu imeanza .
Kwa kifupi ni kwamba naweza kuchukua hata dakika 40 kumwandaa mwenzangu yaani natumia kila mbinu, nazama chumvini, nafanya kila ninalolifahamu lakini mwenzangu bado hasisimki na hata akisisimka mnadoo kabla hata sijamwaga waarabu utakuta mashine inaanza kuwa kavu hadi nasikia maumivu na yeye hudai kuwa anaumia kitu ambacho kimenipotezea mvuto wa kufanya mapenzi.
Kali kuliko sasa hivi ameanza kamtindo fulani yaani anachukua dushelele yangu na kuanza kuisugua kwenye panga lake lililoko nje ya lango,basi atasugua weee hata dakika arobaini hadi mwarabu anatapika kwa uchovu lakini utakuta macho yake makavu tu atajipiga madole wee lakini wapi.
Sasa wana jamvi hivi ni kitu gani kinaendelea hapa nimejaribu kumchunguza kwa siri ili nijue labda ana mtu mwingine
nimeambulia patupu nikimuuliza ana tatizo gani au nimemkwaza wapi anasema yupo safi.Taratibu naanza kuona mke wangu hanivutii !! na kupiga gemu za ugenini naogopa maradhi.
busara zenu zinahitajika wakuu. ANGALIZO KAMA HUNA LA KUCHANGIA KAA KANDO KULIKO KULETA MIZAHA.
Wajameni mwenye ujuzi na hili swala, kuna kitu kigeni kimejitokeza katika mahusiano yangu na shemeji yenu.
Nakumbuka mwanzoni kabla hatujaoana tulikuwa tukiinjoi mapenzi kama kawaida, ila katikati ya mwaka jana ndo hii kitu imeanza .
Kwa kifupi ni kwamba naweza kuchukua hata dakika 40 kumwandaa mwenzangu yaani natumia kila mbinu, nazama chumvini, nafanya kila ninalolifahamu lakini mwenzangu bado hasisimki na hata akisisimka mnadoo kabla hata sijamwaga waarabu utakuta mashine inaanza kuwa kavu hadi nasikia maumivu na yeye hudai kuwa anaumia kitu ambacho kimenipotezea mvuto wa kufanya mapenzi.
Kali kuliko sasa hivi ameanza kamtindo fulani yaani anachukua dushelele yangu na kuanza kuisugua kwenye panga lake lililoko nje ya lango,basi atasugua weee hata dakika arobaini hadi mwarabu anatapika kwa uchovu lakini utakuta macho yake makavu tu atajipiga madole wee lakini wapi.
Sasa wana jamvi hivi ni kitu gani kinaendelea hapa nimejaribu kumchunguza kwa siri ili nijue labda ana mtu mwingine
nimeambulia patupu nikimuuliza ana tatizo gani au nimemkwaza wapi anasema yupo safi.Taratibu naanza kuona mke wangu hanivutii !! na kupiga gemu za ugenini naogopa maradhi.
busara zenu zinahitajika wakuu. ANGALIZO KAMA HUNA LA KUCHANGIA KAA KANDO KULIKO KULETA MIZAHA.